KERO Baadhi ya watoa huduma ya afya kuvujisha siri za wagonjwa

KERO Baadhi ya watoa huduma ya afya kuvujisha siri za wagonjwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

longuo A

Senior Member
Joined
Jan 14, 2025
Posts
181
Reaction score
152
Nawasalimu waungana wote

Kuna Jambo nilikuwa nataka tujadili kidogo, nimeshalishuhudia zaidi ya mara 5 katika maeneo na mikoa tofauti.

Unakuta Vijana mtaani wote wanajua kuwa demu Fulani na Fulani Wana HIV positive na ukiwauliza Wana kumbia taarifa zote tumezipata kwa dokta Fulani, yaani kila mwanamke anayepimwa na akagundulika na HIV basi taarifa lazima zifike mtaani. Kibaya zaidi dokta ndio anawaambia pale msisogee kaungua Yule .. So Sad

Sasa hapa ndipo madam yangu ilipo kwani kwa ninavyofahamu Daktari alikula kiapo cha kulinda taarifa na Siri za wagonjwa wake, ila hapohapo asipowaambia wale Vijana ukweli Vijana wapenda ngono tena zembe wataangania kwa ngwengwe. Sasa tujadili kitaalamu hapa lipi ni Jambo sahihi la kuisaidia jamii na taifa kwa ujumla natanguliza shukran

Wasalaaaam
 
hao ni wahuni tu kama walivo wahuni wengine tu wamekosa maadili ya kazi

ila jaman muwe mnasema ukweli nanyinyi. maana inatia ukakasi unaishi na mtu miaka 5 au zaidi kumbe muda wote uo mwenzako anakunywa dawa kimyakimya tena kazificha mbali kabisa huko hataki hata kumshirikisha yyote hata wewe mwenzawake. sasa huyu akija kupewa ubuyu uko mitaani patakalika tena apo?
mwambie mtu ukweli achague mwenyewe kama atang'ang'ana nawewe au la. ukimshirikisha mtu hata kama atapewa uo ubuyu uko kitaa uyo haitakuwa habari mpya kwake
 
Nawasalimu waungana wote

Kuna Jambo nilikuwa nataka tujadili kidogo, nimeshalishuhudia zaidi ya mara 5 katika maeneo na mikoa tofauti.

Unakuta Vijana mtaani wote wanajua kuwa demu Fulani na Fulani Wana HIV positive na ukiwauliza Wana kumbia taarifa zote tumezipata kwa dokta Fulani, yaani kila mwanamke anayepimwa na akagundulika na HIV basi taarifa lazima zifike mtaani. Kibaya zaidi dokta ndio anawaambia pale msisogee kaungua Yule .. So Sad

Sasa hapa ndipo madam yangu ilipo kwani kwa ninavyofahamu Daktari alikula kiapo cha kulinda taarifa na Siri za wagonjwa wake, ila hapohapo asipowaambia wale Vijana ukweli Vijana wapenda ngono tena zembe wataangania kwa ngwengwe. Sasa tujadili kitaalamu hapa lipi ni Jambo sahihi la kuisaidia jamii na taifa kwa ujumla natanguliza shukran

Wasalaaaam
Sasa huoni kuwa akitoa taarifa anapunguza idadi ya maambukizi mapya?
 
manake madokta waendelee kutoa elimu na ukimwi na si kuvujisha taarifa za wagonjwa?
hao ni wahuni tu kama walivo wahuni wengine tu wamekosa maadili ya kazi

ila jaman muwe mnasema ukweli nanyinyi. maana inatia ukakasi unaishi na mtu miaka 5 au zaidi kumbe muda wote uo mwenzako anakunywa dawa kimyakimya tena kazificha mbali kabisa huko hataki hata kumshirikisha yyote hata wewe mwenzawake. sasa huyu akija kupewa ubuyu uko mitaani patakalika tena apo?
mwambie mtu ukweli achague mwenyewe kama atang'ang'ana nawewe au la. ukimshirikisha mtu hata kama atapewa uo ubuyu uko kitaa uyo haitakuwa habari mpya kwake
 
Ndio vizuri wenye ukimwi wajulikane tena ikiwezekana wawe wanabandika majina ya waarithika kwenye vituo vya afya ngazi ya kata mpaka taifa
 
Siri zinavuja sana. Siku Moja mwanangu mmoja dk alinishtuaga sana. Alinipaga Siri ya dada mmoja mchovumchovu pale kitaa Kwa kunambia eh bwana eh mkuu usimguse yule manzi palee kitaa kwennu. Nikauliza why akanambia huyu Binti ni fundi wa kuchoropoa vichild halaf pia ana ukoks. Nikashangaa jambo njema kunambia but sikwa nimemuuliza
 
Ndio vizuri wenye ukimwi wajulikane tena ikiwezekana wawe wanabandika majina ya waarithika kwenye vituo vya afya ngazi ya kata mpaka taifa
Hii kali boss 😂😂😂 hapo sasa hoja ya unyanyapaa itazungumzwa sana?
 
Back
Top Bottom