Baadhi ya watu wangeuliwa wakati wa utoto wao,baadhi ya majanga ya dunia na taifa yasingalikuwapo

Asenga wa Pakaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
260
Reaction score
60
KAMA BAADHI YA WATU WANGEULIWA NA TAIFA WAKATI WA UTOTO WAO INGEWEZEKANA TUSINGEKUWA NA WEZI NA MAFISADI NA WAARIBIFU WA NCHI SASA.unaweza kuzani ni upuuzi LAKINI MWANAFALSAFA ARISTOTLE ALIUTETEA MAHAKAMANI

HAKIMU ; ARISTOTLE simama uchukue kiapo

ARISTOTE ; [anachukua kiapo]
MWENDESHA MASHITAKA; jina lako?

ARISTOTLE; ni ambalo limetumiwa na hakimu
MWENDESHA MASHITAKA;wewe ni mtukutu?

ARISTOTLE; mimi na wewe.
HAKIMU ;mnafanya mchezo gani hapo?

MWENDESHA MASHITAKA;umri wako?

ARISTOTE; nitaishi kati ya 357 – 430 B.C nilizaliwa Stagira,Thrace.Nilianza masomo yangu na Plato nilipokuwa kijana mdogo.

HAKIMU;Maelezo yako yanajibu swali la umri?

ARISTOTLE;mim utoa baadhi ya majibu mapema nikijua maswali yake yatafatia,katika matukio mengi wanafalsafa wa kubwa kama sisi mara nyingi upata baadhi ya majibu kabla maswali hayajaulizwa

HAKIMU;jibu kabla ya swali? MWENDESHA MASHITAKA endelea kumuuliza maswali.

MWENDESHA MASHITAKA; nini mawazo yako juu ya elimu?

ARISTOTLE;Siamini kama mwalimu wangu PLATO alikosea aliposema elimu lazima isimamiwe na Taifa. Mimi nafikiri Taifa lina haki ya kuamua ni watoto gani waruhusiwe kuishi na gani wauliwe kwa sababu ya upunguu wao. Kama wataachwa waishi, watabadili mazuri ya Taifa lote kuwa mabaya [spoil].

MWENDESHA MASHITAKA;Uhalifu! Uhalifu

HAKIMU;Kuna mahakimu wangapi humu ndani? Mimi pekee ndie nnamamlaka ya kumkuta mshitakiwa na hatia au kumuachia huru.ARISTOTLE endelea na maelezo yako.

ARISTOTLE;Pia nafikiri huu utaratibu wa kuachia kila mwanaume kuoa mwanake wa chaguo lake ni hatari. Nashauri,kuwa,Taifa lazima liamue juu ya maswala ya ndoa,kama nani aolewe na nani.Kwa kufanya hivyo,watoto watakao zaliwa watakuwa ndio hitajio la Taifa.
HAKIMU;hivi ungependa wewe kuuliwa kama ungekuwa na upungufu/udhaifu?

ARISTOTLE;Nashauri Taifa kuwauwa watu zaifu wenye upungufu wakati wa utoto wao. Kwahiyo swali la kupenda au kutopenda lisingalikuwapo. Kama upungufu au udhaifu utatokea ukubwani nisingependa niuliwe kabla,ijapo Taifa litakosa kunufaika kutokana na pungufu wangu,kwahiyo maisha yangu yatakuwa ni sumu na mzigo kwa Taifa

MWENDESHA MASHITAKA;Njia gani zitumike kuwauwa watoto dhaifu?

ARISTOTLE;njia ya kutumika si jambo la kujadiliwa,la muhimu ni kupotezwa kwa maisha ya watu wote wenye upungufu na hasara kwa Taifa na Taifa lenyewe liamue. Kama nilivyosema mapema mwanzoni,mtu hawezi kukuwa kwa uwezo wake peke yake,na ndo maana kuna haja ya wengi kunufaika na maisha yake

HAKIMU;unamaswali ya ziada kwa ARISTOTLE?

MWENDESHA MASHITAKA;Hapana.

HAKIMU;Asante sana Aristotle,unaweza kukaa,.Machiaelli,simama uape kama nitakavyosema,,,,,,,,,,MWISHO.

KAMA MAWAZO YA ARISTOTLE YANGEZINGATIWA,MLIPUAJI BOMU LA ARUSHA ANGEKUWEPO?

[tafasiri ni ya asenga kutoka mafundisho ya mzee John Alfonso Nchimbi] najaribu kutoa mawazo ya wafikiriaji wa kubwa[THE GREAT THINKER] ktk matatizo mbali mbali yanayotukumba binadamu.Wasaa ukipatikana tena nitaandika juu Nyerere alipopanda kizimbani nae alijibuje maswali yake?

NASHUKURU KWA KUSOMA MPAKA MWISHO
 
Kuna Jamaa angekufa Utotoni Janga la Bakwata lisingekuwepo!
 
Kwa mfano yule mchunga ng'ombe angeliwa na fisi huko porini........
 
I wish Mkapa angekufa udogoni...Ufisadi usingetamalaki kiasi hiki...
 
yupi huyo?

Aliyesema yeye alikuwa mchunga ng'ombe ni Mwigulu Nchemba

mi nadhani shehe Ponda na huyu wa kusema walei wauwawe, kama wangekufa wakiwa wadogo, baadhi ya haya tunayopitia sasa yasingetokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…