bab sniper

Hujasema una umri gani, unataka mchumba wa aina gani, umri wake,shule yake

TOA VIGEZO
 
Da,
mbona kazi sana kumpata right person kwa njia yako hii?
Unataka mchumbakwa sababu tu ana jinsia ya kike,
utapata wengi wa rika, rangi, dini na viwango tofauti vya elimu..
Je utawafanyia nini?
Tafadhali, naomba usiwakimbizie dada zetu kitandani kabla hujafunga ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…