chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Kwa shilole hapana Itakua kwa Wema mana wanachukua walioliwa na Diamondduhhh na huyu rayvanny lazma aingie kwa shilole
Meneja wa kundi laWCB babu tale amedai kuwa wao hawa manage hisia za wasanii wao bali kazi zao, na ameongezea pia wasanii hao kutembea na wanawake waliowazidi umri ni bahati na wanamuenzi mtume Muhamad kwa kuwa naye alitembea na Khadija aliyekuwa amemzidi umri
Si bora yeye alioa sasa hawa wanazini na kutafta kiki ikiwa sijui na masharti ya kalumanzila. Wameji jengea imani potofu waoe ili iwe halali kabisa. Kwani bi Khadija alimzidi mtume miaka mingapiKwasababu mtume alimuoa bi Khadija ambaye alimzidi umri,
Ila hawa madogo hawajaoa wanazini tu,