kisaka core
New Member
- Oct 19, 2024
- 1
- 0
Baba aliuza shamba miaka kumi iliyopita akapewa pesa nusu, mnunuaji hakupewa maandishi yoyote na yeye hajamalizia pesa mpaka leo na amejenga nyumba pamoja na kupanda minazi je tunaweza kulirejesha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaweza endapo hatapata hati kutoka wizaraniBaba aliuza shamba miaka kumi iliyopita akapewa pesa nusu, mnunuaji hakupewa maandishi yoyote na yeye hajamalizia pesa mpaka leo na amejenga nyumba pamoja na kupanda minazi je tunaweza kulirejesha?
Baba aliuza shamba miaka kumi iliyopita akapewa pesa nusu, mnunuaji hakupewa maandishi yoyote na yeye hajamalizia pesa mpaka leo na amejenga nyumba pamoja na kupanda minazi je tunaweza kulirejesha?
Hapana sheria ni bora zaidi kuliko majadiliano linapokuja swala la Aridhi, na ndiyo maana kuna sheria za Aridhi, ukiwa na hati miliki wwe kwenye mgogoro simama na sheria za Aridhi, na hazina kona kona zimenyooka!!Vita yaa ardhi n ya hatar sanaa tena unakuta aliuza bei cheeeee...majadiriano n bora zaid kuliko kutumia sheria..