Una umri gani?Tumegombana sana na mzee kuhusu ishu ya kubeti infact hataki kusikia wala nicheze hii kitu,,mm kama mm nachukulia ni mchezo tu ila kwake ipo tofauti ,,changia kipi sahihi anachosema dingi au ninachosema mm,,,
Hajui tofauti ya suruali Na kaptula, hadi Leo anakula ugali wa kengele kwa babaUna umri gani?
Vipi unasoma?Tumegombana sana na mzee kuhusu ishu ya kubeti infact hataki kusikia wala nicheze hii kitu,,mm kama mm nachukulia ni mchezo tu ila kwake ipo tofauti ,,changia kipi sahihi anachosema dingi au ninachosema mm,,,
Dahh aiseee..Hajui tofauti ya suruali Na kaptula, hadi Leo anakula ugali wa kengele kwa baba
hahahaah haya majibu yatamfanya akimbie uzi wakeDahh aiseee..
Unaishi na mzazi wako au una maisha yako?