Mpigie Simu ,kuna kitu hakipo sawa.
Unajua kibongobongo wazazi wanazaa kwa faida ya baadae nahili litabakia kua ivo nahalipaswi kubadilika .
Mpigie simu Mkuu, Usiache kutokujia neno la Moyoni la mzazi.
Na kupitia hilo, ataendelea kugundua jambo kubwa sana kutoka kwenu watoto.