Baba kaweka status 'kuzaa sio kupata'

Na wewe ungemjibu "Si kila mzee ana busara, wengine ni wajinga wa zamani wameshazeeka" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Jiulize Mara yako ya mwisho ni lini kurusha miamala ya salio la pesa kwa baba yako?hata kama upo busy na kushindwa kwenda kumjulia hali mzee wako,, basi hata mitandao ya simu pia ipo busy?mkuu dongo lako hilo
 
Kuna mzee alimgombeza mwanae baada ya kula ada ya shule. Kwa hasira mzee alitamka “mbwa wewe”.
Mtoto alijibu “mbwa huzaa mbwa”.
 
Wadau naomba ushauri leo nimeamka asubuhi nimepitia status za mzee baba nimekuta hii kuzaa si kupata imenichanganya. Sikumbuki kama wiki hii kuna jambo nimemkwaza, hapa natamani kumpigia simu kumuuliza.

Naomba ushauri

KI ani uemzaliwa mwenyewe?
 
Wenye wa baba watumia simatifoni Mie baba yangu ana kanokia tochi anachojua ni kupiga na kupokea. Hata sms hajui. M-pesa natuma kwa wakala tunaye mwamini then anachukulia hapo. I mean hata vya empesa havijui
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…