Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Baba Levo anabusu wanawake wa Kiarabu muda wote huko Qatar, akija kupewa kesi ya 'incident assault' sijui nani atamtoa jela!

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda kwa sponsorship ya Wasafi TV jifanye mjuaji mjanja wa town kumbe umetoka Kigoma huko mipaka ya Burundi.

Kuweni makini vijana, siyo kila unapokutana na binti wa Kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya roho mbaya utajuta na hakuna wakukutoa labda aende Mama mnayempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni Waarabu syio Mashalove wala Zuchu. Shaulileni!
 
Mkuu sio warabuni tu hii tabia za kutania tania wanawake kwa kuwashika hovyo hovyo iko Africa tu, kwa sababu ni jamii iliyo jaa mambo ya hovyo na wenye tabia ya kufanya mambo kiholela holela.

Hata ulaya ambako tunasema kuna uhuru ukithubutu kumgusa mwanamke bila ridhaa yake na akakushitaki utajikuta kwenye matatizo makumbwa na wakati mgumu sana.
 
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena sio nchi za kiarabu Kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza ushoga sasa wewe kapuku mwenzangu uliyeenda Kwa sponsorship ya wasafi TV jifanye mjuaji mjanja WA town kumbe umetoka kigoma huko mipaka ya Burundi.

Kuweni makini vijana, sio kila unapokutana na binti wa kiarabu nikumshika mkono na kumbusu mpaka unamwachia mate, siku wakikunasa kamati ya Roho mbaya utajuta nahakuna wakukutoa labda aende mama mnaempigia promo anaupiga mwingi hapo utachomolewa bangili. Hao ni waarabu sio mashalove Wala zuchu. Shaulileni
Wapi umeona watu wamezuiwa kutumia vilevi??
 
Mkuu sio warabuni tu hii tabia za kutania tania wanawake kwa kuwashika hovyo hovyo iko Africa tu, kwa sababu ni jamii iliyo jaa mambo ya hovyo na wenye tabia ya kufanya mambo kiholela holela.

Hata ulaya ambako tunasema kuna uhuru ukithubutu kumgusa mwanamke bila ridhaa yake na akakushitaki utajikuta kwenye matatizo makumbwa na wakati mgumu sana.
Haijitambui
 
Back
Top Bottom