Pre GE2025 Baba Levo atangaza kuzunguka nchi nzima kukagua miradi ya Samia kwenye kampeni ya "Mama Hana Deni". CCM ndo mmeishiwa kiasi hiki?

Pre GE2025 Baba Levo atangaza kuzunguka nchi nzima kukagua miradi ya Samia kwenye kampeni ya "Mama Hana Deni". CCM ndo mmeishiwa kiasi hiki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Zamani CCM ilikuwa Ina think tanks ambao pia walikuwa ni mouthpiece za chama, sijui nini kimetokea mpaka wakachange gear na kuanza kumtumia mtu kama Baba Levo kwenye mambo yao.

Baba Levo kwa sasa anazunguka mikoa yote kuonesha miradi aliyofanya Samia.

Ni Baba Levo huyu huyu ambaye alishawahi kusema kuwa yuko tayari "kumzalia" Diamond na ni huyu huyu ambaye anajulikana kwa tabia zake za kucheza kamari.

Kwanini kazi hii asingeifanya Nape au hata Mwana FA?

Hizi ni dalili kuwa hiki chama kinapumulia mashine

 
Wakuu,

Zamani CCM ilikuwa Ina think tanks ambao pia walikuwa ni mouthpiece za chama, sijui nini kimetokea mpaka wakachange gear na kuanza kumtumia mtu kama Baba Levo kwenye mambo yao.

Baba Levo kwa sasa anazunguka mikoa yote kuonesha miradi aliyofanya Samia.

Ni Baba Levo huyu huyu ambaye alishawahi kusema kuwa yuko tayari "kumzalia" Diamond na ni huyu huyu ambaye anajulikana kwa tabia zake za kucheza kamari.

Kwanini kazi hii asingeifanya Nape au hata Mwana FA?

Hizi ni dalili kuwa hiki chama kinapumulia mashine

View attachment 3234518
Kazi iendelee
 
Wakuu,

Zamani CCM ilikuwa Ina think tanks ambao pia walikuwa ni mouthpiece za chama, sijui nini kimetokea mpaka wakachange gear na kuanza kumtumia mtu kama Baba Levo kwenye mambo yao.

Baba Levo kwa sasa anazunguka mikoa yote kuonesha miradi aliyofanya Samia.

Ni Baba Levo huyu huyu ambaye alishawahi kusema kuwa yuko tayari "kumzalia" Diamond na ni huyu huyu ambaye anajulikana kwa tabia zake za kucheza kamari.

Kwanini kazi hii asingeifanya Nape au hata Mwana FA?

Hizi ni dalili kuwa hiki chama kinapumulia mashine

View attachment 3234518
kwamba hili nalo linawafanya wasio wanaCCM wababaike na kukasirika ndrugo zango?

na nyie si mkakague maendeleo ya vyama vyenu huko mikoani ama mmezuiwa?

nongwa na gubu ni kitu mbaya sana :pedroP:
 
Wakuu,

Zamani CCM ilikuwa Ina think tanks ambao pia walikuwa ni mouthpiece za chama, sijui nini kimetokea mpaka wakachange gear na kuanza kumtumia mtu kama Baba Levo kwenye mambo yao.

Baba Levo kwa sasa anazunguka mikoa yote kuonesha miradi aliyofanya Samia.

Ni Baba Levo huyu huyu ambaye alishawahi kusema kuwa yuko tayari "kumzalia" Diamond na ni huyu huyu ambaye anajulikana kwa tabia zake za kucheza kamari.

Kwanini kazi hii asingeifanya Nape au hata Mwana FA?

Hizi ni dalili kuwa hiki chama kinapumulia mashine

View attachment 3234518
Wenye chama wameona B Levo ndiye anayestahili kukipaisha chama ili Chura Kiziwi akubalike, kama hauko kwenye level za kupanga on how the strategies should be set, kaa pembeni waachie 'wenye chama'.
Understanding level ya majority ya Watanzania Baba Levo ni mtu muhimu zaidi ya Nape, Mwana FA, Wasira na hata Majaliwa. Nasikia huko Bongo alishinda kwamba ndiyo the current Top Influencer nchi nzima.
Bongonyoso, haihitaji akili ku-thrive.
 
Hiyo ni strategic business plan. Anaitangaza media yake kiaina, anatengeneza content za media, anapata support ya serikali na wadhamini na mwisho anapata mpunga zaidi. Tusimlaumu Anakula kwa akili zake.
 
Hiyo ni strategic business plan. Anaitangaza media yake kiaina, anatengeneza content za media, anapata support ya serikali na wadhamini na mwisho anapata mpunga zaidi. Tusimlaumu Anakula kwa akili zake.
Ana media huyu?
 
Mtaalamu wa kuandika proposal (Mwijaku) kazidiwa tena kete na Babalevo kupata tender.
Mwijaku na Baba Levo they're just one and the same kwenye upande wa ukichaa wa kujitoa ufahamu, Baba Levo anampiga bao mwenzake kwenye connections na unajua connections ndiyo kila kitu katika maisha yaani ni zaidi ya elimu pia ni zaidi ya nidhamu.
 
Baba levo ana akili kuliko graduates wengi tu.

Kabla hajaanza uchawa Baba levo alikuwa Diwani wa halmashauri.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Dunia ndio inawataka hawa watu, hivyo chama kimeona ni bora kuwatumia.

Watanzania wanapenda umbeya na Instagram na huko ndio pande za baba levo kwa akili ya kawaida jamaa wa chama wamecheza kete vizuri.
 
Wenye chama wameona B Levo ndiye anayestahili kukipaisha chama ili Chura Kiziwi akubalike, kama hauko kwenye level za kupanga on how the strategies should be set, kaa pembeni waachie 'wenye chama'.
Understanding level ya majority ya Watanzania Baba Levo ni mtu muhimu zaidi ya Nape, Mwana FA, Wasira na hata Majaliwa. Nasikia huko Bongo alishinda kwamba ndiyo the current Top Influencer nchi nzima.
Bongonyoso, haihitaji akili ku-thrive.

CCM tutaisema tu maana hata wao wanasema mambo ya wenzao.

Wassira anavyoenda on stage kuisema CHADEMA, kwani yeye anahusika kwenye mipango na strategies ya CHADEMA?

Kwa hiyo na yenyewe tutaijadili tu.
 
Baba levo ana akili kuliko graduates wengi tu.

Kabla hajaanza uchawa Baba levo alikuwa Diwani wa halmashauri.

Mtu gani mwenye akili anaweza kusema yuko tayari kumzalia mwanaume mwenzake?
 
Kwanini kazi hii asingeifanya Nape au hata Mwana FA?

Hizi ni dalili kuwa hiki chama kinapumulia mashine
Hao ndio wanaoruhusiwa kuonana nae akienda Waziri anapigwa danadana nyingi sana
 
Dunia ndio inawataka hawa watu, hivyo chama kimeona ni bora kuwatumia.

Watanzania wanapenda umbeya na Instagram na huko ndio pande za baba levo kwa akili ya kawaida jamaa wa chama wamecheza kete vizuri.

Sio dunia sema CCM

Vijana wa CCM wengi ndo wanapenda umbeya na Instagram, maana wengi washaridhika

Huwezi kukuta mtu anayekatwa PAYEE alafu anashabikia CCM, hayupo
 
kwamba hili nalo linawafanya wasio wanaCCM wababaike na kukasirika ndrugo zango?

na nyie si mkakague maendeleo ya vyama vyenu huko mikoani ama mmezuiwa?

nongwa na gubu ni kitu mbaya sana :pedroP:
kwa hiyo tusihoji kodi zetu zinavyotumika hovyo
 
Personal movement hiyo, ila mwisho wa siku inamzalia matunda yeye baba levo, na Ccm kwa asilimia kadhaa . Yaani watamlipa tu. Hii ni kampeni tengeneza yako ya chadema yaki simtank.
 
asisahau kupita Kagera:

1000018633.jpg
 
Back
Top Bottom