Baba Levo: Natamani nife wa kwanza kabla ya Diamond, akitaka lolote ntamfanyia. Wadau wamfananisha Baba Levo na Gigy Money

Baba levo wa siku hizi sijui kaweje!!.. au karogwa!!..
Mh itakuwa njaa,maana njaa haimpendezi mtu kama suti
 
Samahani wakuu hiyo shule ada ni million kumi na ngapi kwa mwaka?
 
Huyo tayari mdudu keshaingia kwenye embe![emoji276]
 
Huyo mnaemuongelea ana elimu gani na shughuli zake kubwa mjini kabla ya kukutana na Nasibu ilikuwa nini?
 
Mmesahau msemo usemao "Utakula ulikopeleka unga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…