Pre GE2025 Baba Levo: Nikipewa kadi ya CCM kwenye mkutano mkuu, nitamrudishia Zitto Kabwe kadi yake ya ACT

Pre GE2025 Baba Levo: Nikipewa kadi ya CCM kwenye mkutano mkuu, nitamrudishia Zitto Kabwe kadi yake ya ACT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baba Levo ndo ameshamwaga manyanga hivyo.

Akiwa anazungumza jana kwenye kipindi chake cha Jana Na Leo, Baba Levo amesema kuwa iwapo kwenye mkutano huu unaoendelea Dodoma ataepwa kadi ya CCM basi atamrudishia Zitto Kabwe kadi yake ya ACT Wazalendo.

Ni rasmi sasa wasanii wote isipokuwa Nay wa mitego na Roma ambaye nae haeleweki, wamenunuliwa.


 
Wakuu,

Baba Levo ndo ameshamwaga manyanga hivyo.

Akiwa anazungumza jana kwenye kipindi chake cha Jana Na Leo, Baba Levo amesema kuwa iwapo kwenye mkutano huu unaoendelea Dodoma ataepwa kadi ya CCM basi atamrudishia Zitto Kabwe kadi yake ya ACT Wazalendo.

Ni rasmi sasa wasanii wote isipokuwa Nay wa mitego na Roma ambaye nae haeleweki, wamenunuliwa.


View attachment 3204208
Roma naye haeleweki, anatamani kwenda CCM kupata donge nono, aende tu akaimbe kuifurahisha CCM na kuukandia upinzani, tutamuona ni mpuuzi mwenye tamaa ya fedha
 
Vijana wanaangalia maokoto sasaivi, hawataki harakati..

Unaongeq ongea, unasifia sifia unalipwa... Nani hataki kaz laini hiyo.

Siku akitokea mjuba wote wanarudi shimoni...

Heshima haiokotwi kama embe..
 
Back
Top Bottom