ninaona ni bora nitioe mfano wa moja ya matatizo ambayo labda yanaweza yakajitokeza ,hivi kama wewe ni baba au mama na ikatokea kuwa na kutokufahamiana hop nyumbani,na ukajaribu kutumia busara ili mzozo huwo usiendele kwa kuamua hilo ukaona ni bura kuondoka hapo kwa muda na kwa kuwa ulijaliwa kuwa na mtoto mdogo kias cha miaka miwili na nusu basi pia ukamchukuwa na ukaelekea kwa shemegi yako/kaka /dada,na mlipo fika huko ukatoa utambulisho kwa mtoto kwa kumuambia kuwa huyu ni mama/baba ako mwingine na baada ya muda kupita makarudi nyumbani,na kwa furaha aliyonayo mtoto ya kufahamu familia yake kabla hata ya kuulizwa akanza kusimulia leo tumekwenda kwa baba/mama mingine.
kwa kuwa hatuna neno moja lenye kumaanisha MAMA/BABA mdogo sidhani kuwa hizo busara zako kamazitaleta hiyo amani ulioitegemea