''Nikiwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza ndipo baba yangu kipenzi aliweza kunitoka duniani,nakumbuka tulikuwa hospitali ya taifa ambapo baba yangu alikuwa amenikumbatia huku akiwa ananiambia baadhi ya maneno"mwanangu naomba uzitumie mali nilizokuachia kwa ajili ya kusoma,mimi naenda mbali kutalii nitarudi", ndipo aliponituma nje kwenda kumnunulia tango,lakini niliorudi nilikuta ameshakufa.
Mkasa hupo hivi, viambatanishi vyote vya mali alizoniandikisha aliweza kumuachia mama yangu mzazi ambaye bado yupo hai ingawa anaumwa umwa sana.
Ndipo baba mkubwa walipokuja na shangazi wakisema wanataka wampe mama wa mtoto wa kiume mali (ikumbukwe baba alikuwa na watoto wawili, mimi wa kike na mwengine mkubwa wa kiume ambaye alifariki akiwa mafunzoni jeshini,sema kila mtoto na mama yake), bila kujua hili wala lile mama aliwapa viambatanishi vyote ndipo walipofanikiwa kubadilisha majina yote na kuweka majina yao, kiukweli inauma sana kwani waliniambia mimi sio mtoto wao na hawanijui.
Kipindi mama alipokuwa anafanya biashara tuliweza kwenda kwa mwanasheria, tulipofika mahakamani walimtafuta kijana wa kiume na kusema ni mtoto wa baba lakini ikaonekanika kwamba vyeti hafinanani na uhalisia(wametuongopea).
Nimejairibu kufanya juhudi za hapa na pale ili kusaidiwa lakini inaonekanika kila wakili ba mkubwa huwa anamnunua, kuna mzee mmoja mpaka sasa yupo Ngerengere rafiki yake na baba ndie aliyeonesha nia ya kunisaidia.
Msaada wana jamii forum,tena wa kisheria ni wapi naweza kuanzia na ushahidi gani utahutajika ili niweze kupata mali za baba,ingawa mama ananikataza lakini mi mwenyewe nahisi nina deni nahitaji kulilipa".
NOTE:
-Elimu ni kidato cha nne, kwa sasa nalima na kujishughulisha na shughuli za saluni(nimeajiliwa).
-ba mkubwa ni diwani wa katafulani morogor mjini,pia ana maduka yake na shule ya awali.
-bibi mzaa baba alionesha kunisadia mwanzoni lakini sasa yupo kimya
-mali alizoniachia baba ni nyumba mbili moja ipo mahenge, nyingine morogoro mjini, gesti house ipo morogoro mjini, magari kazaa
Mkasa hupo hivi, viambatanishi vyote vya mali alizoniandikisha aliweza kumuachia mama yangu mzazi ambaye bado yupo hai ingawa anaumwa umwa sana.
Ndipo baba mkubwa walipokuja na shangazi wakisema wanataka wampe mama wa mtoto wa kiume mali (ikumbukwe baba alikuwa na watoto wawili, mimi wa kike na mwengine mkubwa wa kiume ambaye alifariki akiwa mafunzoni jeshini,sema kila mtoto na mama yake), bila kujua hili wala lile mama aliwapa viambatanishi vyote ndipo walipofanikiwa kubadilisha majina yote na kuweka majina yao, kiukweli inauma sana kwani waliniambia mimi sio mtoto wao na hawanijui.
Kipindi mama alipokuwa anafanya biashara tuliweza kwenda kwa mwanasheria, tulipofika mahakamani walimtafuta kijana wa kiume na kusema ni mtoto wa baba lakini ikaonekanika kwamba vyeti hafinanani na uhalisia(wametuongopea).
Nimejairibu kufanya juhudi za hapa na pale ili kusaidiwa lakini inaonekanika kila wakili ba mkubwa huwa anamnunua, kuna mzee mmoja mpaka sasa yupo Ngerengere rafiki yake na baba ndie aliyeonesha nia ya kunisaidia.
Msaada wana jamii forum,tena wa kisheria ni wapi naweza kuanzia na ushahidi gani utahutajika ili niweze kupata mali za baba,ingawa mama ananikataza lakini mi mwenyewe nahisi nina deni nahitaji kulilipa".
NOTE:
-Elimu ni kidato cha nne, kwa sasa nalima na kujishughulisha na shughuli za saluni(nimeajiliwa).
-ba mkubwa ni diwani wa katafulani morogor mjini,pia ana maduka yake na shule ya awali.
-bibi mzaa baba alionesha kunisadia mwanzoni lakini sasa yupo kimya
-mali alizoniachia baba ni nyumba mbili moja ipo mahenge, nyingine morogoro mjini, gesti house ipo morogoro mjini, magari kazaa