maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
shikamoo baba mkwe pole na majukumu, mimi nataka kuoa mwanao ila naomba kupunguziwa posa kwa sababu zifuatazo
moja:mwanao ana zigo kubwa kwa hivyo atakua ananichosha tu tunapokua faragha sitofurahia ndoa yangu kiivyo Kwa sababu ya zigo lake
mbili:mwanao ni wa kawaida wala haendani na posa ulonipangia koo ningeomba unipunguzie walau kidogo ili tufanye biashara
tatu: mwanao ana tabia mbaya apo mtaani sifa mbaya zote ni zake kwa kifupi anachafua mtaa anasababisha mtaa mzima waonekane wahuni kwasababu ya ulamaya wake koo ata nikimuoa ntakua nakusaidia wewe maana ntakua nmekupunguzia matatizo hivyo Naomba unipunguzie posa
nne:mwanao hatakua na kazi yeyote ile zaidi ya tendo tu hivo siwezi kumchosha sana koo ningeomba posa iendane na matumizi nnayokwenda kumtumia
tano:mwanao anakwenda kunawiri tofauti na alivokua kwako huna kazi pension ulihonga koo umeshindwa kumuhudumia mwanao, hivyo basi Fanya kupunguza posa ili aje anawiri
NB:usimnyime mwanao haki ya kuolewa
jibu Kama baba mkwe.......... povu ruksa kama enzi za nyimwi na ikiuma jua dawa imeingia
moja:mwanao ana zigo kubwa kwa hivyo atakua ananichosha tu tunapokua faragha sitofurahia ndoa yangu kiivyo Kwa sababu ya zigo lake
mbili:mwanao ni wa kawaida wala haendani na posa ulonipangia koo ningeomba unipunguzie walau kidogo ili tufanye biashara
tatu: mwanao ana tabia mbaya apo mtaani sifa mbaya zote ni zake kwa kifupi anachafua mtaa anasababisha mtaa mzima waonekane wahuni kwasababu ya ulamaya wake koo ata nikimuoa ntakua nakusaidia wewe maana ntakua nmekupunguzia matatizo hivyo Naomba unipunguzie posa
nne:mwanao hatakua na kazi yeyote ile zaidi ya tendo tu hivo siwezi kumchosha sana koo ningeomba posa iendane na matumizi nnayokwenda kumtumia
tano:mwanao anakwenda kunawiri tofauti na alivokua kwako huna kazi pension ulihonga koo umeshindwa kumuhudumia mwanao, hivyo basi Fanya kupunguza posa ili aje anawiri
NB:usimnyime mwanao haki ya kuolewa
jibu Kama baba mkwe.......... povu ruksa kama enzi za nyimwi na ikiuma jua dawa imeingia