baba mkwe naomba unipunguzie posa

baba mkwe naomba unipunguzie posa

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
shikamoo baba mkwe pole na majukumu, mimi nataka kuoa mwanao ila naomba kupunguziwa posa kwa sababu zifuatazo


moja:mwanao ana zigo kubwa kwa hivyo atakua ananichosha tu tunapokua faragha sitofurahia ndoa yangu kiivyo Kwa sababu ya zigo lake


mbili:mwanao ni wa kawaida wala haendani na posa ulonipangia koo ningeomba unipunguzie walau kidogo ili tufanye biashara


tatu: mwanao ana tabia mbaya apo mtaani sifa mbaya zote ni zake kwa kifupi anachafua mtaa anasababisha mtaa mzima waonekane wahuni kwasababu ya ulamaya wake koo ata nikimuoa ntakua nakusaidia wewe maana ntakua nmekupunguzia matatizo hivyo Naomba unipunguzie posa



nne:mwanao hatakua na kazi yeyote ile zaidi ya tendo tu hivo siwezi kumchosha sana koo ningeomba posa iendane na matumizi nnayokwenda kumtumia


tano:mwanao anakwenda kunawiri tofauti na alivokua kwako huna kazi pension ulihonga koo umeshindwa kumuhudumia mwanao, hivyo basi Fanya kupunguza posa ili aje anawiri


NB:usimnyime mwanao haki ya kuolewa


jibu Kama baba mkwe.......... povu ruksa kama enzi za nyimwi na ikiuma jua dawa imeingia
 
Mahali inatakiwa iwe reasonable sio unanambia nilipe million tatu,nanua shamba am. Angalau kama ni laki tano hapo Sawa.
 
Kumbe wenye zigo la chura mahari inatakiwa kupungua![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Write your reply...tia mimba unachukua goma bure tatizo mnashindwa kujiongeza .unanunua mwanamke laki tano analala ndani gari lako LA million kadhaa umelinunua linalala nje linanyeshewa mvua
 
asante kwa ushauri iyo mbinu nimeipenda ngoja niifanyie kazi by the way
Write your reply...tia mimba unachukua goma bure tatizo mnashindwa kujiongeza .unanunua mwanamke laki tano analala ndani gari lako LA million kadhaa umelinunua linalala nje linanyeshewa mvua
 
kwan unafkiri ni mimi baba... tehteh ni mamake uyo
we njoo na bombonya mbili za gongo
mwanangu tuyajenge mi mwenyewe amenishinda tabia nakula sana bana
 
Back
Top Bottom