Baba Morgan nishakuwa mtu mzima sasa nahitaji mwenza

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo.
-Umri 28
-Mrefu
-Mweusi wastani
-Mpole kimuonekano na tabia
-Mfanyakazi
Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza kuwa mke nahitaji mwenye sifa zifuatazo.
-Umri (20-25)
-Rangi yoyote
-Urefu wastani
-Mpole
-Elimu Form four.

Hii ni serious mwanamke aliyetayari apige hodi PM kwangu nami nitamfungulie na kumupokea kwa mikono miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…