SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Fake hii,watu wametengeneza.Mzee kachafuka pamba kali na chain litakatifu.
[emoji1545]
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, amen. View attachment 2566749
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Huyu ni Kiongozi wangu wa dini,Naomba umuheshimu tu hata km huoni umuhimu wake.Tujifunze kuheshimu Viongozi wa Dini mbalimbali km tunavyofunzwa kuheshimu Dini za Watu.Mzee kachafuka pamba kali na chain litakatifu.
[emoji1545]
Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, amen. View attachment 2566749
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mitandao ya kijamii haitaki hasira broeti baba mtakatifu. hakuna kitu kama hicho, wenge zenu tu
Yesu aliagiza mtu asiitwe baba duniani, nyie mmeongeza mtakatifu kabisa. aisee
Mathayo 23:9-12
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa