Yeah, Saa Nyingine ni Bora kwako wewe ambaye alikutoka Ukiwa mdogo, Mimi alimkimbia Mama yangu nikiwa na Miaka 4; Mama yangu alikuwa Masomoni Nje ya Nchi, akawa na mwanamke Mwingine... Sisi ikabidi tuhamie kwa ndugu wa Mama
Sikumuona tena baba yangu, hakututafuta, nilifaulu Darasa la saba yeye akafanya Party hakunialika akaalika Marafiki zake na Mama yangu Mkubwa
Baba yangu kafariki Simjui; Napewa Urithi wake Namshukuru Mungu lakini hatukujuana, Hakutaka kunijua...
Sasa hauwezi kujua ya DIAMOND yakoje, haujui DIAMOND mama yake yapi yalimkuta na Mwanaye yalimuuma sana