Mtoto wa 1: bachelor
Mtoto wa 2: Masters
Mtoto wa 3: Phd
Mtoto wa 4: Mwizi.
Jirani: kwanini usimfukuze huyo wa nne?
Baba: huyo ndo peke yake analeta pesa nyumbani hao wengine hawana kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]