Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 654
- Thread starter
-
- #41
Kumbuka mwanao anaweza kuja kuwa mwanasiasa. Hebu fikiri baada ya miaka kumi mbele aje mtu agombee uraisi anaitwa JK we utampa kura yk?
ikiwa kwa kipindi hicho itakuwa ni busara kuchagua kiongozi kwa kigezo cha jina lake na si uwezo au sifa zake basi naweza kufanya hivyo!
aah wapi!Haya baba Rostam maana inawezeka umelitoa mwenyewe unamsingizia mkeo na we si unaitwa nani Aziz?
Mbona kama ya kutunga vile?
duh!oa mkee mwingineSiku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu ananiambia kampa mtoto jina la ROSTAM.
Nikadhani ananitania kumbe she's serious na yeye anajua vilivyo msimamo wangu dhidi ya mafisadi lakini yeye kasisitiza kuwa hajachagua jina hilo ili kunichokoza bali analipenda tu jina hilo licha ya kuwa mtu maarufu mwenye jina kama hilo hapa TZ anahusishwa na tuhuma za rushwa.
Kwa kuwa tulikubaliana awali kuwa yeye ndo atampa jina mtoto sina jinsi imebidi nikubali kuwa BABA ROSTAM kuanzia leo! Je ingekuwa wewe ungeamuaje?
Duh Hii mama mmoja akiwaagiza watoto wake pale tandale,Wee Sadam mwambie Bush aache kupiga kelele Osama kalala!!!Please you nid to think twice kabla mambo hayajahrbika mbeleni. Hivi mnataka watoto wenu waje kuwalaani sababu ya majina mliowapa wakati wadogo? Hilo jina linaweza kuja mcost huko mbeleni hasa katika mambo ya ajira. Anaweza fikiriwa fisadi ingw ni mtu mwema 2. Hy ni mwz yangu lkn.[/QUOTE
Ok, hilo laweza tokea iwapo unaaminii huko mbeleni watakuwa wanaajiri kwa kuzingatia majina badala ya qualifications!]
Duh Hii mama mmoja akiwaagiza watoto wake pale tandale,Wee Sadam mwambie Bush aache kupiga kelele Osama kalala!!!
Duuuuh bonge ya familia
Mmmmh!!duh!oa mkee mwingine