Baba wa kijana huyu "bingwa wa dunia" ajitokeze.

Baba wa kijana huyu "bingwa wa dunia" ajitokeze.

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
198
Kwa wapenzi wa Figure skating bila shaka mtakuwa mnampata kijana Robin Szolkowy - Wikipedia, the free encyclopedia, baba yake inasemekana ni mtanzania ila hawajawahi kuonana. Wazee wa JF kama kuna aliyewahi kutembelea Ujerumani miaka ya 1978 na "kutoka" na nesi basi ajue kaacha mtoto ambaye kwa sasa anatisha katika mchezo wa Figure skating. Binafsi kama mtanzania huwa najisikia faraja sana kwa jinsi anavyoumudu mchezo huu bila kulewa sifa za kuwa bingwa wa dunia.

"Wazee" kazi kwenu kuvuta kumbukumbu.





 
Baba yake yupo wameshaonana mwaka 2008 vienna, alikuwa ni mwanafunzi medical doctor na mama yake nurse wakati wamekutana na mama yake miaka hiyo, alitokomea na kujitokeza mwaka 2008

kwa wapenzi wa figure skating bila shaka mtakuwa mnampata kijana robin szolkowy - wikipedia, the free encyclopedia, baba yake inasemekana ni mtanzania ila hawajawahi kuonana. Wazee wa jf kama kuna aliyewahi kutembelea ujerumani miaka ya 1978 na "kutoka" na nesi basi ajue kaacha mtoto ambaye kwa sasa anatisha katika mchezo wa figure skating. Binafsi kama mtanzania huwa najisikia faraja sana kwa jinsi anavyoumudu mchezo huu bila kulewa sifa za kuwa bingwa wa dunia.

"wazee" kazi kwenu kuvuta kumbukumbu.





 
Bahati yake kampata baba'ke. wengi wengine hutafuta mpaka hukata tamaa. na wengine hukutana na baba zao na kujuta kwa nini wamepoteza muda wote huu kukutana na such an 'idiot' man! anyway la msingi kamjua baba yake, atulie kuendelea na maisha yake
 
Msizae na kuacha watoto wenu jamani..
tunazaa lakini hatujui tunazaa ninii
usikute unaemwacha ndio atakae kuwa President wako baadaye...
 
Back
Top Bottom