Baba wa WEMA SEPETU ni mgonjwa!

Baba wa WEMA SEPETU ni mgonjwa!

Goodluck Mshana

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
1,272
Reaction score
1,120
Leo nikiwa nipo busy kushughulikia afya ya mama watoto kwenye hospital ya TMJ ndipo nikamwona baba yake na Wema akishushwa kwenye wheelchair! Kushuka huko nikagundua tayari kuta tatizo kwenye afya ya mzee Sepetu! Nilifanikiwa kupata taarifa za awali kuwa mzee amepatwa na stroke. Wapo waliosema kinachomsibu kingine ni figo! Kama kawaida nikamwona kimwana 'X' wa Diamond (Wema) akiwa anapambana kuhakikisha afya ya baba ina imarika. Kwapamoja tunampa pole Wema pamoja na mgonjwa. Apone haraka na arudi kwenye majukumu yake ya kila leo!
 
Leo nikiwa nipo busy kushughulikia afya ya mama watoto kwenye hospital ya TMJ ndipo nikamwona baba yake na Wema akishushwa kwenye wheelchair! Kushuka huko nikagundua tayari kuta tatizo kwenye afya ya mzee Sepetu! Nilifanikiwa kupata taarifa za awali kuwa mzee amepatwa na stroke. Wapo waliosema kinachomsibu kingine ni figo! Kama kawaida nikamwona kimwana 'X' wa Diamond (Wema) akiwa anapambana kuhakikisha afya ya baba ina imarika. Kwapamoja tunampa pole Wema pamoja na mgonjwa. Apone haraka na arudi kwenye majukumu yake ya kila leo! Pole mzee Sepetu.
 
Vipi mgonjwa wako anaendeleaje? Pole mkuu.
 
Get well soon shemeji yetu.ya baba wa wema aje wema mwenyewe atuambie ndo tumpe pole.
 
Get well soon shemeji yetu.ya baba wa wema aje wema mwenyewe atuambie ndo tumpe pole.

Ha ha ha ha haa...mkuu huishi vituko! Yani umeona mimi kuripoti nimefaiiiidi!! Si ungesema Wema aje kuelezea kwa undani?
 
wema anampa strees mzee sepetu kila siku scandal atamuua haraka mkwe wetu bila hata ya kuona mjukuu wa wema roh.
 
sepetu+px.jpg
Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu mourns the death of her father Isaac Sepetu at their Sinza home in Dar es Salaam, yesterday. With her is Mariam, her mother. The former minister died on Sunday at TMJ Hospital in Dar es Salaam and will be buried tomorrow in Zanzibar. PHOTO | SALIM SHAO
 
Tunazidi kutoa pole kwa familia ya mzee Sepetu. Mungu awape uwepesi kwenye kipindi hiki kigumu!
 
Back
Top Bottom