Babati: Chongolo kuongoza mkutano wa hadhara wa CCM leo Machi 10, 2023

Babati: Chongolo kuongoza mkutano wa hadhara wa CCM leo Machi 10, 2023

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Na Bwanku M Bwanku

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo leo Ijumaa Machi 10, 2023 anatarajia kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa CCM Mjini Babati kwenye viwanja vya Stendi ya zamani.

Mkutano huo ni wa kufunga baada ya ziara yake ya siku 6 mkoani humo akiambatana na Wajumbe wengine wa Sekretarieti ya CCM Taifa ambao ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema pamoja na Katibu wa Oganaizesheni Ndugu Issa Haji Gavu.

Mkutano huo utaanza saa 9 mchana na utaruka mubashara kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Usikose kufuatilia.

1421717419.jpg
 
Usiogope!
bahati nzuri Chadema imesajiliwa kwenye mioyo ya watu, CCM imesajiliwa kwenye makaratasi ili upate mkate wako. Chadema hakuna kugawa vyweo hivyo tuko chadema kwa vile tunaipenda. Note the difference please
 
bahati nzuri Chadema imesajiliwa kwenye mioyo ya watu, CCM imesajiliwa kwenye makaratasi ili upate mkate wako. Chadema hakuna kugawa vyweo hivyo tuko chadema kwa vile tunaipenda. Note the difference please
Sasa mbona Tundu Lisu na Lema NAULI wanaomba CCM?
 
Na Bwanku M Bwanku.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo leo Ijumaa Machi 10, 2023 anatarajia kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa CCM Mjini Babati kwenye viwanja vya Stendi ya zamani. Mkutano huo ni wa kufunga baada ya ziara yake ya siku 6 mkoani humo akiambatana na Wajumbe wengine wa Sekretarieti ya CCM Taifa ambao ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema pamoja na Katibu wa Oganaizesheni Ndugu Issa Haji Gavu.

Mkutano huo utaanza saa 9 mchana na utaruka mubashara kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Usikose kufuatilia
Hivi si tulikubaliana kwamba mikutano ya siasa inapunguza muda wa uzalishaji mali?
 
Wanacheza ngoma ya CHADEMA
Exactly, wao walikuwa wanajiegesha kwenye kutekeleza ilani yao while in rewal snese they were making political public ralies! all in all, let us have katiba mpya and tume huru!
 
Exactly, wao walikuwa wanajiegesha kwenye kutekeleza ilani yao while in rewal snese they were making political public ralies! all in all, let us have katiba mpya and tume huru!
let us have katiba mpya and tume huru![emoji1548][emoji1752][emoji1545]
 
Chama kijikite kwenye kuishauri serikali namna gani sahihi ya kupunguza ukali wa maisha na sio kufanya mikutano ya siasa.

Mikutano haileti chakula mezani.
 
Back
Top Bottom