Babati, Manyara: Watu wanaozidisha kiwango cha kelele usiku wanachukuliwa hatua gani?

Babati, Manyara: Watu wanaozidisha kiwango cha kelele usiku wanachukuliwa hatua gani?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Kuna mazoea ya kupiga muziki mzito katikati ya makazi ya watu.

Hapa kuna club moja karibu na Top in One Lodge, stand ya zamani Babati wanapiga muziki hadi usiku wa manane bila kujali ni siku za kazi au lah!

Je, mamlaka zimewapa kibali kusumbua wananchi zaidi ya saa sita usiku?

Muziki unaopigwa yaani hapa logde ni usumbufu mkubwa sana. Kwanini hawalazimishwi kuweka soundproof?

Tunachukua hatua gani iwapo huu usumbufu unaendelea kila siku hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea Nani kaanza kujenga [emoji3][emoji3]
Kama umeikuta lodge ya watu kuwa mpole tu kaka (jokes)
 
Wambulu ni kati ya binadamu ambao hawajastaarabika na pia ni nadra sana kusafiri kwenda popote


Sent using IPhone X
 
Safari tulionayo bado ni ndefu sana
 
Kusema ukweli mimi napenda sana kuishi kwenye mitaa iliyochangamka 24/7...tumetofautiana.

Tena hapo karibia na club ni rahisi sana hata kula kimasihara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom