LGE2024 Babati: Wagombea wa CHADEMA hawakuondolewa kwa uonevu, mtu hawezi kuwa wakala na mgombea kwa wakati mmoja

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Your browser is not able to display this video.

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati mjini Shaban Mpendu ameeleza uhalisia wa madai ya CHADEMA kuwa mawakala wake 63 waliondolewa kwenye vituo wakati wa upigaji kura.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mpendu amesema walioondolewa ni baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali kupitia chama CHADEMA ambao kwa makusudi au kutojua waliomba kuwa mawakala wakati wao ni wagombea wa nafasi mbalimbali jambo ambalo ni kinyume na kanuni na sheria inayosimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa.
 

..mgombea inaruhusiwa kuwa kwenye kituo cha kupigia kura.

..kura zinazopigwa kituoni ni za wagombea sasa wanazuiliwa kwa misingi gani?

..huyo msimamizi amekiri kutenda kosa hivyo anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…