Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati mjini Shaban Mpendu ameeleza uhalisia wa madai ya CHADEMA kuwa mawakala wake 63 waliondolewa kwenye vituo wakati wa upigaji kura.
Mpendu amesema walioondolewa ni baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali kupitia chama CHADEMA ambao kwa makusudi au kutojua waliomba kuwa mawakala wakati wao ni wagombea wa nafasi mbalimbali jambo ambalo ni kinyume na kanuni na sheria inayosimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Babati mjini Shaban Mpendu ameeleza uhalisia wa madai ya CHADEMA kuwa mawakala wake 63 waliondolewa kwenye vituo wakati wa upigaji kura.
Mpendu amesema walioondolewa ni baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali kupitia chama CHADEMA ambao kwa makusudi au kutojua waliomba kuwa mawakala wakati wao ni wagombea wa nafasi mbalimbali jambo ambalo ni kinyume na kanuni na sheria inayosimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa.