I know all the situation one months before i was there, jamaa anashindana na Mhindi mmoja na ukweli Jamaa wa NCCR-Mageuzi is very powerful guy na alikuwa nakubalika sana.....hiyo ngoma imepigwa. Sina hakika kama walikomaa vizuri mkulinda kura zao. Wao kama kweli ngoma ilisoma postive kwenye Vituo vya awali basi wasikubai ku-recount hapo watakuwa wameliwa.