:crying: Mfupa uliomshinda fisi mbwa ataweza?aliyeshindwa kwao anashindwa kokote kule.
Babati mungeuliza kwanini huyo Kisyeri Chambiri alikataliwas kwao. yaani vimisaada viduichu anavyoonga mmekubali.
Pata undani wake kwa ufupi.
Ni jamii ya watu wanaoamini kuwa wao ni watawala, wasomi.
Nduguye Mwita ni Mwizi maarufu wa kura popote alipo.
Waliwatukana waskurya ndo mana wakawanyima kura. Mmoja wapo ni Tajiri Gachuma. Ameaidiwa Uwaziri na Kikwete endapo atarudi bungeni.
Hamtamwonaa akishughuliuka na shida zenu. POLENI BABATI
Hivi hao Babati hawakugundua kuwa huyu ni opportunist?
kweli huyu jamaa ni mtoa rushwa mkubwa mana alianza kutoa rushwa kabla hata ya uchaguzi, kwa kweli nawaonea huruma sana kila mwaka wa uchaguzi nashindwa kuisoma alama poor them they have to suffer another 5 years if not 20 years kama ambavyo walikoma kwa yule omary, lakini nafikiri wanahitaji elimu ya uraia hawa
Jamani wana JR samahaninini sana mi mwenyewe nimetoka jimbo la babati vijijini, sisi tumehongwa vitishe na mhindi moja wa ccm ila kura zote tumempa mh.tara wa chadema.
Problem ya babati mjini ni mahali ambapo pamekaliwa na jamii ya watu wanaitwa warangi. mrangi ukimpa chochote tayari umempata,ni watu wa ajabu sana,
Babati Mjini ni wa kusikitiwa kwani watu wa kudanganywa na pipi, michango ya sherehe n.k. Ingawa waliaswa na Dk. Slaa kwamba mgombea wao hafai na kuambiwa udhaifu wake, hawakuelewa. Subiri wakalipe gharama ya kutokusikia kwao.