Babie!

BTW you sir.. may not submit this thread!!!
 
Code:
Kwani umelazimishiwa....kama hutaki mwambie mwenzako asikuite hivyo!

La ajabu ni kuwa akipachikwa hayo majina udende humdondoka lakini akija humu jamvini aanza kusagia....lol.................

Nini udenda hadi kulia tena kwa machozi na kudhubutu kuwatukania wazazi kisa utamu, JF raha jamani!!
 
Labda wewe ndo unadanganywa,wengine majina yanamaanisha hayo!
 
Kwani umelazimishiwa....kama hutaki mwambie mwenzako asikuite hivyo!

Hahahahahah lol! usiniite honey!...mie sipendwi kuitwa hivyo kwani mie asali!? hahahahah...uso unamshuka mtoto wa watu!
 
lugha ya kimahaba hio,hatuendeshani kijeshi lol,inaelekea unatokea kule tarime kule nasikia hawarembi.....:biggrin1:
 


dah, sikumbuki mara ya mwisho kuitwa honey ilikuwa lini tu...............................
 



baba ubaya huu ni utenzi au shairi?
 
hayo majina yanatumika wakati wa raha.wakati wa kuzozana au wakati wa shida hutayasikia.walevi wanayatumia sana.mimi napenda kutumia baby coz kwenye mapenzi wote ni watoto ndo maana hata mnalia bila kupigwa.
 
lugha ya kimahaba hio,hatuendeshani kijeshi lol,inaelekea unatokea kule tarime kule nasikia hawarembi.....:biggrin1:

kule kwanza kina mama ili wajitambue wanapendwa lazima wakung'utwe kwanza, babie, honey, darling, sweetie, lolipop nk utayakumbuka kweli?
 
ooohh my sweet heart sharo H
whats goin on here mmmhhh

still don't get it ..
I love calling you baibe
I love calling you darling
i love calling you pumpkin & pitches
mmmhh will be even sweeter if you allow me
to call you honey bunny..

so what are you saying sweet pie..:A S-rose:
hahahahhahahhaahh lol
 

waaaaaaoooooow!!!
Hutanisaliti darl?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…