The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
... π£οΈ ππππ₯π - πͺππ§π¨ πͺππ ππππ£πͺπ π£ππ¦π ππ¨π§ππ‘πππ‘πππ π£π₯π’π£ππππ‘ππ.
"Propaganda zilizofadhiliwa zimefikia hatua ya kuchukiza sana kama vita za kisiasa. Kwani hatuwezi kuona kikamilifu nyuma ya hii Content rahisi iliyolipiwa ?! "
Β©οΈ Barbara Gonzalez
CEO wa zamani wa Simba SC Via X
Hakuna mchakato wowote wa Barbra Gonzalez kurejea Simba kama CEO wala Mwenyekiti wa Bodi, ni kitu ambacho hakifikirii kwasasa na hakipo kwenye akili yake, taarifa kutoka kwenye vyanzo vyangu ni kuwa ukurasa wake ndani ya mpira wa Tanzania ameshaufunga.
Nachokifahamu mpaka sasa ni kamchezo kanaendelea cha kubadili upepo tena katika wakati ambao ni muhimu sana wa klabu kujiunda na kuanza upya, bahati mbaya sana propaganda zimetawala sana kuliko uhalisia, kwa ground vitu viko hovyo tu na mambo hayaendi, bahati mbaya Mashabiki washahamishiwa mjadala na wanajadili kitu kipya ambacho hakipo.
Hii klabu inatakiwa kurejesha ufalme wake ila mpaka sasa Simba kuna vitu havipo sawa halafu ni kama tunazidi kujivuruga tu, kuna Mtu ametulia sehemu anapiga mziki na anafurahi kuona Watu wanacheza, ila huu ni msiba tena unafana sana kwakuwa hakuna Mtu anayelia nje ya key, this is a very calculated move.
Wakati mchakato wa Mabadiliko umekwama na hatujui lini utaendelea inatangazwa nafasi ya Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama, kwa muundo gani ndani ya Simba ambayo haidahili Wanachama wapya? Anaenda kufanya kazi gani? Anakusanya Wanachama gani? Hapo tujiulize sote kisha majibu bakini nayo.
SIMBA SC KUNA SHIDA KUBWA NA WASIPOANGALIA YANGA ANAENDA KUTAWALA MISIMU MINGINE 3 MFULULIZO.
"Propaganda zilizofadhiliwa zimefikia hatua ya kuchukiza sana kama vita za kisiasa. Kwani hatuwezi kuona kikamilifu nyuma ya hii Content rahisi iliyolipiwa ?! "
Β©οΈ Barbara Gonzalez
CEO wa zamani wa Simba SC Via X
Hakuna mchakato wowote wa Barbra Gonzalez kurejea Simba kama CEO wala Mwenyekiti wa Bodi, ni kitu ambacho hakifikirii kwasasa na hakipo kwenye akili yake, taarifa kutoka kwenye vyanzo vyangu ni kuwa ukurasa wake ndani ya mpira wa Tanzania ameshaufunga.
Nachokifahamu mpaka sasa ni kamchezo kanaendelea cha kubadili upepo tena katika wakati ambao ni muhimu sana wa klabu kujiunda na kuanza upya, bahati mbaya sana propaganda zimetawala sana kuliko uhalisia, kwa ground vitu viko hovyo tu na mambo hayaendi, bahati mbaya Mashabiki washahamishiwa mjadala na wanajadili kitu kipya ambacho hakipo.
Hii klabu inatakiwa kurejesha ufalme wake ila mpaka sasa Simba kuna vitu havipo sawa halafu ni kama tunazidi kujivuruga tu, kuna Mtu ametulia sehemu anapiga mziki na anafurahi kuona Watu wanacheza, ila huu ni msiba tena unafana sana kwakuwa hakuna Mtu anayelia nje ya key, this is a very calculated move.
Wakati mchakato wa Mabadiliko umekwama na hatujui lini utaendelea inatangazwa nafasi ya Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama, kwa muundo gani ndani ya Simba ambayo haidahili Wanachama wapya? Anaenda kufanya kazi gani? Anakusanya Wanachama gani? Hapo tujiulize sote kisha majibu bakini nayo.
SIMBA SC KUNA SHIDA KUBWA NA WASIPOANGALIA YANGA ANAENDA KUTAWALA MISIMU MINGINE 3 MFULULIZO.