gazeti kama hili huwezi kusikia hata likikemewa na msemaje wa serikali au waziri. subiri sasa yale yanayoandika madudu ya serikali uone yanvyofanyiwaBabu mmoja Arusha amewatoa hofu mashabiki waliodai dogo janja huenda akawa anachapiwa mzigo na vijana wabemba nondo mjini,amedai kwa jinsi anavyomfahamu dogo janja alivyo lazima Uwoya atulie kabisa,pia ameongeza hata kama wangekuwa Wolper,Uwoya ,Wema na Aunt Ezekiel pamoja lazima wote wangetulia tu.
Si alimwona wakati wa kumfanyia tohara?Hatari kumbe tohara nayo inasaidia kufanya watotowetu wawe tishio ngoja nimpeleke mwanangu kwa huyo babu
Haya ndiyo yanatakiwa maana hayafanyi Uchochezi...magazeti haya ndio yakufungiwa
Kwanza ni kweli au kik nnyadogo janja hata balehe hajamaliza kwenda kujitwika zigo ndio nini jamani......genye za balehe zikimuisha atajilaumu sana
Duh, kwa hiyo ndiye aliyeimbiwa "una rambo mi nna muwa?"hapo babu kamaanisha dogo ana mzigo wa haja
Kwani baba yake ni mchovu????Hatari kumbe tohara nayo inasaidia kufanya watotowetu wawe tishio ngoja nimpeleke mwanangu kwa huyo babu
Fafanua...Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi