*NDOA INAFUNGWA KANISANI*
*Mchungaji akauliza* *"Yeyote Mwenye pingamizi na Ndoa hii aje mbelee"...*
*Kibabu kimoja kikasimama kwenda mbele..* *Bi harusi Akazimia Ghafla
-Mchungaji:-Twambie Mzee* ..
*Mzee:-Nimeamua kuja mbele kule nyuma Sisikii vizuri*
*Watu:- Aaaaaaaaaaahhh Babuu Jamani*
_*Babu hatakagi ujinga kabisa*_
*Mchungaji akauliza* *"Yeyote Mwenye pingamizi na Ndoa hii aje mbelee"...*
*Kibabu kimoja kikasimama kwenda mbele..* *Bi harusi Akazimia Ghafla
-Mchungaji:-Twambie Mzee* ..
*Mzee:-Nimeamua kuja mbele kule nyuma Sisikii vizuri*
*Watu:- Aaaaaaaaaaahhh Babuu Jamani*
_*Babu hatakagi ujinga kabisa*_