Unawazania ngozi nyeupe inaamini upuuzi kama blacks Mwamposa tu kawauwa kisa mnazani mafuta yanabadilisha maisha ya umaskini wa mbongoHivi wadau nimejaribu kuwaza....mara paap babu mwasapile kaibuka na kikombe cha corona ni vip tutaachia wagonjwa kutoka china na nchi nyingine waathirika wamiminike nchini tupige bingo la utalii wa matibabu au tutaacha babu na kikombe chake aende nchi itakayokuwa tayari kumuhifadhi atoe huduma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kipind kile wageni hawakushuka kwa babuUnawazania ngozi nyeupe inaamini upuuzi kama blacks Mwamposa tu kawauwa kisa mnazani mafuta yanabadilisha maisha ya umaskini wa mbongo
Viongozi wa serikali, hao weupe labda kama walipita kujifurahisha pindi walipotoka Ngorongoro na Serengeti