fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Kijana mmoja ana udugu nami japo kwa mbali, kaniuliza hilo swali, eti aoe mke au atafute mwaname wa kuzaa nae? Nimemjibu anipe wiki ndio ntamjibu, wadau mmeona hilo swali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna nia nzuri nae mkuuAsioe wala asimzalishe mtu.
Edit uzi wako kwanza. Mwambie atafute mwanamke aishi nae tu ile sogea tuishi. Akijichanganya kusaini cheti cha ndoa amekwisha.Kijana mmoja ana udugu nami japo kwa mbali, kaniuliza hilo swali, eti aoe mke au atafute mwaname wa kuzaa nae? Nimemjibu anipe wiki ndio ntamjibu, wadau mmeona hilo swali?
Ndoa sio kipimo cha akili. Achaneni na hayo mawazo yaliyopitwa na wakati.Wenye akili ndo wanaoweza kuwamudu wake zao! Kama huna akili pita kushoto ya kitu kinaitwa mwanamke! Hila watu kama mimi hapa niko na chombo matata pembeni kinaning'ang'ania hakiwezi kusinzia bila kugusanisha mwili, walau hata kwa kunishika tu! Hadi raha!
Tena mawazo ya kijima kabisa.Ndoa sio kipimo cha akili. Achaneni na hayo mawazo yaliyopitwa na wakati.
Sema ukiwa mjinga mjinga kuwavumilia wakina bartazalWenye akili ndo wanaoweza kuwamudu wake zao! Kama huna akili pita kushoto ya kitu kinaitwa mwanamke! Hila watu kama mimi hapa niko na chombo matata pembeni kinaning'ang'ania hakiwezi kusinzia bila kugusanisha mwili, walau hata kwa kunishika tu! Hadi raha!
Kwa sasa kuitetea ndoa inabidi ujizime data kwanza, maana yanayoendelea kwenye jamii kila siku yanazidi kuthibitisha kwamba ndoa ni taasisi ambayo imepitwa na wakati.Tena mawazo ya kijima kabisa.
sawaWenye akili ndo wanaoweza kuwamudu wake zao! Kama huna akili pita kushoto ya kitu kinaitwa mwanamke! Hila watu kama mimi hapa niko na chombo matata pembeni kinaning'ang'ania hakiwezi kusinzia bila kugusanisha mwili, walau hata kwa kunishika tu! Hadi raha!
asante kwa maoniKwa sasa kuitetea ndoa inabidi ujizime data kwanza, maana yanayoendelea kwenye jamii kila siku yanazidi kuthibitisha kwamba ndoa ni taasisi ambayo imepitwa na wakati.
Narratives zote tulizoaminishwa kuhusu ndoa, kwamba ni pingu za maisha, kiapo cha uaminifu na kuvumiliana kwenye shida na raha ni za uongo.
Kataa ndoa wana hoja za msingi zaidi ukilingamisha na hawa watetezi wa ndoa ambao hawana hoja, wao ni vitisho na dhiaka tu
asante kwa maoniSema ukiwa mjinga mjinga kuwavumilia wakina bartazal
asante kwa maoniTena mawazo ya kijima kabisa.
asante kwa maoniEdit uzi wako kwanza. Mwambie atafute mwanamke aishi nae tu ile sogea tuishi. Akijichanganya kusaini cheti cha ndoa amekwisha.