Babu Owino ampiga mtu risasi akiwa night club

Babu Owino ampiga mtu risasi akiwa night club

ngebo

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
1,684
Reaction score
2,126
Dah huko Kenya kuna nini tena, huyu kijana mwanasiasa Babu Owino amemshoot mtu yaani bila hata huruma na mabody guard wanamburuza nje kama gunia huyo aliyetunguliwa.

Serikali ya Kenya hapo itabidi msifumbie macho hili jambo hakuna kiongozi yupo juu ya sheria yaani nashangaa Wakenya mpo kimya hili jambo lingekuwa Marekani ingekuwa top in CNN na BBC.

Wakenya mtujuze zaidi. Video hii hapa (CCTV footage ) ila naona mtu ameshaiweka watermark ya jina lake.



Sent using Jamii Forums mobile app

Update:
Jamaa aliyekuwa shot na Babu Owino anajulikana kama Dj Evolve, sasa hivi yupo anapatiwa matibabu hivyo yupo hai.
 
Babu Owino hana akili nzuri halafu eti walikua wanagombea mchepuko jamaa chenga sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sidhani kama ni kweli maana raia hawaruhusiwi kumiliki siraha huko Kenya
 
Sidhani kama ni kweli maana raia hawaruhusiwi kumiliki siraha huko Kenya
Raia wanaruhusiwa kumiliki silaha bora upate leseni kutoka polisi. Babu mwenyewe alikuwa na leseni ila ametumia silaha kinyume na sheria. Wacha ale maharagwe huko rumande.
 
La Rhumba- RZA, Methodman and Bobby Digital

Esta bueno, por que esta es La Rhumba
Con bailan, con meguen, es La Rhumba
Esta bueno, por que esta es La Rhumba
Con bailan, con meguen, es La Rhumba
 
Back
Top Bottom