ahaaaaaaaaaaaaaaaaa watu bwana mnamchimba chimba mkwere ahaaaaaaaaaa .Ila alifanya noma sana hii kitu ku plant mtu achiite babu seya kisha kumtia adui yake mikononi mwa sheria .
Kulikuwa na utaratibu wa wafungwa kupiga kula. Babu Seya anaweza kupiga kula mwaka huu,ila anaelekea kuzuri maana baada ya rais kuapishwa mwakani Seya anaweza kurudi 'Tanzania Huru' kwa tiketi ya msamaha wa rais!