Daaah Mungu mwenye huruma.....nakuomba unyooshe mkono wako mkuu juu ya watu wako hao maana wanateseka sana!!!
Babu Seya out? Babu Seya leo kutolewa? Leo jopo la majaji linakaa kupitia na kutoa maamuzi juu ya hukumu na rufaa aliyoikata Babu Seya Nguza Viking na mwanae Papii kocha! Tusubiri tutawajuza