Sasa kwanini ameamua kukaa kimya?ninachoamini mimi ni kwamba, baba, na vijana wake (Familia) hawawezi kufanya ujinga kama huo, bora angewasingizia kuuza madawa ya kulevya kidogo inge make sense, Babu seya ni innocent na Mungu anajua!!
hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. Kwa hasira hata panya hakubaki...
aisee...hako katoto katakuwa kamekuwa kakubwa sa hivi...........
kubakwa na watu wawili mchezo...lazima kangekuwa hoi bin taaban
Mkenya tuliyeambiwa kuwa mtekaji wa Ulimboka alieleza ukweli mahakamani alivyotekwa na kulazimishwa kuiambia uongo mahakamani. Kama Nguza naye alibambikiwa ubakaji, angeieleza mahakama chanzo cha bifu lake na hao wabambikizaji, kama ni kula wake wao au vinginevyo. Potelea mbali hata angebaki gerezani lakini ukweli ungejulikana kwa umma, na pengine kwa ukweli huo siku moja angesamehewa adhabu yake.
ninachoamini mimi ni kwamba, baba, na vijana wake (Familia) hawawezi kufanya ujinga kama huo, bora angewasingizia kuuza madawa ya kulevya kidogo inge make sense, Babu seya ni innocent na Mungu anajua!!
tunasikia babu seya alimla mama yake nanihii halafu baba yake nanihii akapata habari,si unajua tena wakongo walivyo wabaya??haaahaahaaa,,,,hayo mambo ya kubaka hatujui
Now atakuwa na miaka 17
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nampenda Papii Kocha
Ina tofauti na mundende?pamoja na kuuza sura ila hiyo mundende inanisaidia kunipa heshima mjini...Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.
Cc: Madame B
Mambo ya Mundende