Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

mi nilisikia walibaka walikuwa wanatengeneza porno movie na hao watoto zinauzwa nje.
 
ninachoamini mimi ni kwamba, baba, na vijana wake (Familia) hawawezi kufanya ujinga kama huo, bora angewasingizia kuuza madawa ya kulevya kidogo inge make sense, Babu seya ni innocent na Mungu anajua!!
Sasa kwanini ameamua kukaa kimya?
 
hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. Kwa hasira hata panya hakubaki...


nini panya katafute kunguni kwenye chumba cha babuseya kama utamwona chezeya toto la .......
 
Mkuru si ni King Muswat wa Tanzan....
jamaa kila kona ya Tz ana vimada kama vile Vicky Kamatisha ukiachilia wake zake halali.
Huyo Salumu angemwachia tu Babu Seya kuliko kumbambikizia kesi kama hiyo
 
Kesi ya huyo mzee imeshikiliwa ns yule mkuu wa magogoni, kuachiwa mpaka amue yeye.
 

Hapo mahakama itakuambia hiyo sio kesi ya msingi issue umeshitakiwa kwa kubaka hivyo jibu hoja kujinasua
 
Hii kesi ni moja kati ya kesi inayosisimua na kuacha maswali mengi kwa watanzania kuhus mkasa huo uliowapat wanafamilia hao,ngoja tuone what's next

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hapana waliama last time kumuona ilikuwa 2011 tena nilikutana nae mwenge akitoka shule
 
Huyo gani na nyinyi mnataka kumsingizia kesi? Wakongo wanaweza kufanya kweli si unajua wamezoea kivita vita.
 
Majaji waliowahukumu wakina babu seya hivi hawakuwemo kwenye ile orodha ya tundu lissu ya majaji wababaishaji
 
Kutopatiwa mwongozo wa namna ya kujitetea mahakamani ndio kulisababisha hukumu hii ya kibabe. Kwa nini hawakumpima Nguza? nadhani one day mkuu nafsi itamsuta na atasema ukweli kabla hajafa. The judgement is too porous.
 
ninachoamini mimi ni kwamba, baba, na vijana wake (Familia) hawawezi kufanya ujinga kama huo, bora angewasingizia kuuza madawa ya kulevya kidogo inge make sense, Babu seya ni innocent na Mungu anajua!!

Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria), kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa), 2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.

zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!
 
tunasikia babu seya alimla mama yake nanihii halafu baba yake nanihii akapata habari,si unajua tena wakongo walivyo wabaya??haaahaahaaa,,,,hayo mambo ya kubaka hatujui

Inauma sana Kugegedewa!!!
 
tunasikia babu seya alimla mama yake nanihii halafu baba yake nanihii akapata habari,si unajua tena wakongo walivyo wabaya??haaahaahaaa,,,,hayo mambo ya kubaka hatujui

Mambo ya Mundende
 
Last edited by a moderator:
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B
Ina tofauti na mundende?pamoja na kuuza sura ila hiyo mundende inanisaidia kunipa heshima mjini...
 
Last edited by a moderator:

Heshima kwako mzazi!mundende ni bad news....kwa kupania naifungaga na nylon katika ndonga la nanihii....maji wanaitaga mma kwa ile minguli inayonichukuliaga poa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…