Pre GE2025 Babu Tale awakabidhi Wananchi wa Kata ya Ngerengere gari la kubebea Wagonjwa

Pre GE2025 Babu Tale awakabidhi Wananchi wa Kata ya Ngerengere gari la kubebea Wagonjwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge Babu Tale ameandika "Mapema leo tarehe 23 Desemba, 2024, tumemaliza kilio cha muda mrefu kilichokuwa kikitokana na kukosekana kwa Gari la kubebea wagonjwa katika Kata ya Ngerengere.

Ninamshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kutupenda wana Morogoro kusini mashariki.

Afya ni moja ya kipaumbele cha Serikali ya Awamu ya Sita na ni utekelezaji wa ahadi yetu ya Uchaguzi wa mwaka 2020."
 
Back
Top Bottom