Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari

Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni, Mikese na Mkulazi lakini havina vyumba vya kuhifadhia maiti hivyo kusababisha maiti kwenda kuhifadhiwa Morogoro Mjini

Ameongeza, "Sasa samahani kwa kusema hivi, Mtu anakwenda ana rest in peace lakini hapa ana-rest na stress kwasababu, tuongee ukweli, mtu umefiwa halafu bado utafute gari ya kwenda kuhifadhi maiti Mjini"


Pia soma: Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
 
Ajenge

Pale Iringa Marwaha alijenga kwenye hospital ya mkoa

Ajenge kwa fedha ya mfuko wa Jimbo na kiasi atoe kwenye zile tsh million 18 za Mbowe 🐼

Mchengerwa katoa tsh 50 million huko Rufiji
 
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni, Mikese na Mkulazi lakini havina vyumba vya kuhifadhia maiti hivyo kusababisha maiti kwenda kuhifadhiwa Morogoro Mjini

Ameongeza, "Sasa samahani kwa kusema hivi, Mtu anakwenda ana rest in peace lakini hapa ana-rest na stress kwasababu, tuongee ukweli, mtu umefiwa halafu bado utafute gari ya kwenda kuhifadhi maiti Mjini"



View attachment 2967165
Dr. Babu Tale, hata kujenga hoja hajui masikini anajiuma uma tu
 
Mwendazake alituletea wabunge wa hovyohovyo kweli, shime wananchi tutumie vizuri sanduku la kura kutuletea wabunge wenye hoja za mashiko na tija kwa maendeleo ya majimboni, wananchi wanamahitaji makubwa zaidi ya hizo hoja
Katika nchi zilizostaarabika au zilizoendelea, Elimu na watu wenye Elimu kubwa Ndio mtaji Mkuu kabisa wa Serikali kwenye nchi husika, Lakini katika nchi ambazo hazijastaarabika na zenye maendeleo duni, ujinga na kuwepo kwa watu wengi wajinga wajinga Ndio imekuwa mtaji Mkuu kabisa kwa Serikali zilizopo madarakani katika nchi husika.
 
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni, Mikese na Mkulazi lakini havina vyumba vya kuhifadhia maiti hivyo kusababisha maiti kwenda kuhifadhiwa Morogoro Mjini

Ameongeza, "Sasa samahani kwa kusema hivi, Mtu anakwenda ana rest in peace lakini hapa ana-rest na stress kwasababu, tuongee ukweli, mtu umefiwa halafu bado utafute gari ya kwenda kuhifadhi maiti Mjini"



View attachment 2967165
Ukimtumikia freemasonry na akili zako zinageuka kuwa freemasonry
 
Katika nchi zilizostaarabika au zilizoendelea, Elimu na watu wenye Elimu kubwa Ndio mtaji Mkuu kabisa wa Serikali kwenye nchi husika, Lakini katika nchi ambazo hazijastaarabika na zenye maendeleo duni, ujinga na kuwepo kwa watu wengi wajinga wajinga Ndio imekuwa mtaji Mkuu kabisa kwa Serikali zilizopo madarakani katika nchi husika.
Ndiyo serikali ya ccm inakazania shule nyingi za kina Kayumba maana inaelewa huko wanajifunza kuchora ramani ya Afrika
 
Tukumbuke sisi wote ni marehemu watarajiwa hivyo anawatengenezea pumziko lililobora
 
J
Mwendazake alituletea wabunge wa hovyohovyo kweli, shime wananchi tutumie vizuri sanduku la kura kutuletea wabunge wenye hoja za mashiko na tija kwa maendeleo ya majimboni, wananchi wanamahitaji makubwa zaidi ya hizo hoja
Jiwe alikuwa hovyo sana!
 
Back
Top Bottom