Pre GE2025 Babu Tale: Kuna vijiji 64 kwenye jimbo langu na hakuna kijiji ambacho hakina umeme

Pre GE2025 Babu Tale: Kuna vijiji 64 kwenye jimbo langu na hakuna kijiji ambacho hakina umeme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Najua kuna wadau humu mnaishi huko Morogoro, hebu tuambieni kila kijiji kwenye jimbo la Babu Tale kweli kina umeme?



 
Wakuu,

Najua kuna wadau humu mnaishi huko Morogoro, hebu tuambieni kila kijiji kwenye jimbo la Babu Tale kweli kina umeme?

Sera ya kila kijiji kuwa na umeme ni ya serikali ya miaka mingi kupitia REA tangu kabla ya huyo Taletale kuwa mbunge....

Mbunge kama anataka kujisifu, na ajisifu juu ya mambo ambayo sio ya kisera...
 
Sera ya kila kijiji kuwa na umeme ni ya serikali ya miaka mingi kupitia REA tangu kabla ya huyo Taletale kuwa mbunge....

Mbunge kama anataka kujisifu, na ajisifu juu ya mambo ambayo sio ya kisera...
Sasa wewe ukimuangalia huyo Babu Tale unahisi anajua hata tofauti ya anachoongea.

Mtu anacheka cheka ovyo bila hata ya kuchekeshwa na mapozi yake ya kumvutia P.Diddy

1737097643276.png

1737097677315.png
 
Hizo ni juhudi za Serikali mimi nina muhitahi babu tale anipe jibu juu ya wale watu wanaopasua yale mawe njiani kama wawelekea mkuyuni je nani kawaruhusu na wanapoteza asili yetu na nahitaji majibu ya kina akiwa kama mbunge
 
Akifikia ngazi yakitongoji ndio ajisifu.
 
Sio kitu kigumu..tumeamua kuwa wagumu sisi wenyewe.

TANESCO/REA..
Wanafikra za kimaskini kama hao Wabunge hapo.
Weka huduma hizo kwa Wananchi,akili za watu zitabadilika kimaendeleo,nina ushahidi huo.
Kuna pahala ,Ulanga(Mahenge),Ruaha juu watu wana uwezo wa kumiliki na kulipia umeme na walitaka mpaka kujichanga waletewe umeme ni mwaka wa 5 sasa na umeme mkubwa umepita kwenda vijiji vya mbele,lakini ulikopita hakuna huduma.

Ni maamuzi,hela nyingi zinatumika ndivyo sivyo..Trillion 27 ni pesa ndogo sana kama Nchi ikiamua na kupitia umeme tu inaweza kurudi haraka sana.

Mradi tu wa mwendo kasi na SGR uliyosha kulipa hiyo pesa.
 
Back
Top Bottom