Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
ulitaka ujue wanafanya nini nje ya mzikiNasikiaga tu sasa ilo kundi wamebase kuimba au shughuli nyingine sijawahi kusikia kazi zao
nan AnaliliaMnajifanya wagumu halafu mnalilia kuwa managed na Babu Tale, kwa nyimbo hizi za kuimba watu utaendelea kusubiri sana bench
Upumbavu wa huo wimbo ni niniSasa Nikki Mbishi inamaana ukitoa wimbo wa kipumbavu tusikwambie?
Hip-hop inahitaj kufikiriMkushi wa kusi sasa, umesema lengo la hip hop si kupigwa radioni, sasa huyo niki mbishi analalamikia nini ktk hiyo nyimbo au anajifurahisha. Mwana hip hop anakuwa na wivu kama mtoto wa kike, si bora nae abane pua, harmonize kumiliki gari yy kinamuuma nn
kwan kila kikal kina menoIna meno???
kuongelea watu ni upumbavuUpumbavu wa huo wimbo ni nini
Hip hop n mziki wa kikombozikuongelea watu ni upumbavu
kumuongelea Babutale na Neema wa Mitego unamkomboa nani?Hip hop n mziki wa kikombozi
Freestyle battle unajuakumuongelea Babutale na Neema wa Mitego unamkomboa nani?
Huo ndo ujinga sasa, kuamini Babutale anaweza kukupoteza kimziki, mtu asiyekuwa hata na RedioFreestyle battle unajua
Unajua Babu Tale na Mziki wa Tanzania
Unajua Kwanini Nikki alitoa diss track kwa Ney
umesikiliza Hio ngomaHuo ndo ujinga sasa, kuamini Babutale anaweza kukupoteza kimziki, mtu asiyekuwa hata na Redio
kwa hiyo huyo babu Talent Ndio anamzuia Nikki asifanye ukombozi?!hip-hop n mziki wa ukombozi
Sasa kama sio kupigwa redioni huyu Nikki Mbishi analalamika nini?!Kwani lengo kuu la Utamaduni wa Hip-hop ni kupigwa Redioni
Hebu wewe viweke hapa hivyo nisivyovijua.Dawg looks like u don' kno a shit bout Hip Hop ila umekariri tu vitu vidogo.
Wanaimba mkuu, ila tu inatokea mara nyingi wanashindwa kukutana wote kwani some wapo nje.Nasikiaga tu sasa ilo kundi wamebase kuimba au shughuli nyingine sijawahi kusikia kazi zao