Babu wa Loliondo ananipoagawisha.

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.
 
Reactions: amu
Aaaamen na iwe kama upendavyo bt bibi ye2 kwa maana ipi,.utatoa tiba ya ajabu au?. Umejuaje kama utaoteshwa na wewe?
 
Aaaamen na iwe kama upendavyo bt bibi ye2 kwa maana ipi,.utatoa tiba ya ajabu au?. Umejuaje kama utaoteshwa na wewe?

Nataka niwe mkewe only that. Mambo ya tiba is non of my business
 
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.
Ukinenacho ndicho kitokeacho.......ongeza juhudi kwenye maombi.
 
Utamuua babu wa watu.
Nyie watoto wa Kitanga ni hatari sana kitandani.
 
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.

Sijui kama atakufaa maana babu anatumia Airtel....sasa wewe na mtandao wako wa tiGo hebu tuwasiliane...
 
Rev wa ukweli unatumia tigo? Hamia airtel ujisikie huru

NIna addiction na tiGo ...hiyo inapatikana wakati wowote.....siku 30 za mwezi kila siku....huku huwezi nitoa
 
Babu kaishaingia menopause ya nguvu. Utaihimili?
 
NIna addiction na tiGo ...hiyo inapatikana wakati wowote.....siku 30 za mwezi kila siku....huku huwezi nitoa

Rev wa ukweli, tigo inasumbua, sometimes huwa inakuwa off air kwa siku tano. Hamia airtel
 
Mmmmhhh BABU yuko kwenye menopause???? au kwasababu ni asubuhi sana labda sijasoma vizuri??!!!
 
kile kikombe ni noma. Babu anaunguruma kama simba. Nazjaz ajipeleke aone kama hajarudi mbio na kusahau kufuli hukohuko

Mimi na babu ngoma droo, hanikimbii wala simkimbii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…