Point za nguvu......najua hutafuti....unatafutwa....ah ah ah usiogope bana an not searching kabisaaaaaaaaaaaa
Why are you so emotional???
nikimkamata huyu aliye iba ID yangu....Asee atakoma!
Hujambo mama? me mcd you...! kuna mtu kaiba ID yangu humu..lol
singo and searching!
Kuna mtu kanionea Wiselady wajameni?
Mkimwona mwambieni babu anammisi vibaya eti.
Narudi kitandani kulala peke yangu.
hivi baby ameshakam back au bado
am in need of obuntu or wambugani,,vry urgent pls
halafu hii posted via mobile napata mashaka.....!!swithat aliyekuibia ni kimey,,,bda ya kuwa wakili ww ndo unataka kurithi siyo!
babu nilikumis afadhali umekuja kimey ananistress huwezi kunikabidhi mwingine?na mm narudi kitandani
Babe come back please!!! (nimemuona Obuntu itabidi niwe makini hapa)babu nilikumis afadhali umekuja kimey ananistress huwezi kunikabidhi mwingine?na mm narudi kitandani
Babe come back please!!! (nimemuona Obuntu itabidi niwe makini hapa)
ah ah ah usiogope bana an not searching kabisaaaaaaaaaaaa
mmmh kumbe hapa hakuna hata wa kumwamini?wote ni kina siwema full mateso ya moyooooooooooooo
Babe come back please!!! (nimemuona Obuntu itabidi niwe makini hapa)
Nipo kiongozi.....hahahaha Wiseladies including mine?Kimey,
Mambo vipi? Obuntu anapenda all WiseLadies!
ni logistics zimekaa ndivyo sivyo ila usiogope...mmmh kumbe hapa hakuna hata wa kumwamini?wote ni kina siwema full mateso ya moyooooooooooooo
lol hao wote ni ma baby come back ama? hao wa sirini ndo balaa kbs lol
lol hao wote ni ma baby come back ama? hao wa sirini ndo balaa kbs lol
I am intrigued that u seem to be the victim...!!pole sana!!Najiuliza tu....how do people feel when they are facing this kind of situation..
Umekaa na mtu wako kwa muda, then out of blues akaamua kusitisha mahusiano yenu (wengine kwa mbwembwe/Ugomvi/maumivu) e.t.c but after a while anarudi na kukuomba mrudiane..................
What kind of feelings do people get?? Imeshawahi kukutokea? How did you feel and what was your reaction??
Mapenzi ah......................
Mimi sio miongoni mwao.....trust me!