Baby Come Back.........


Mhhh!!!! I see
 
love stinks
 
Hapa ni jinsi alivyoondoka bana.......!!
 
Hapa ni jinsi alivyoondoka bana.......!!
sikiliza we crap,
dem ako akikuletea za ajabu UNAWEKA OVADRAIVU unakanyaga mafuta

always remember....''VAPOURIZED FEELINGS CAN NEVER BE CONDENSED''
 
sikiliza we crap,
dem ako akikuletea za ajabu UNAWEKA OVADRAIVU unakanyaga mafuta

always remember....''VAPOURIZED FEELINGS CAN NEVER BE CONDENSED''

Labda Emjeiwani atuambie... hii baby come back ni ya ampendaye kiviiiiile au ni INFII?

Kwa babu.... Baby come back kwa INFII ni Ruksaaaaaa!
 
Kwa babu.... Baby come back kwa INFII ni Ruksaaaaaa!

Hapa mahawala huwa hawaachani hata wapotezane miaka 10 wanacho fanya nikukumbushia ndo hiyo baby come back
 
Labda Emjeiwani atuambie... hii baby come back ni ya ampendaye kiviiiiile au ni INFII?

Kwa babu.... Baby come back kwa INFII ni Ruksaaaaaa!
Baby come back kwa INFII ni MWIKO!i have got a lots of infiiz to deal with
 
sikiliza we crap,
dem ako akikuletea za ajabu UNAWEKA OVADRAIVU unakanyaga mafuta

always remember....''VAPOURIZED FEELINGS CAN NEVER BE CONDENSED''
hahahahahaha CRAP at it best!!
 
sure brother......!
ANGALIZO:kwa mujibu wa hii post ya mj1....''MARRIAGE IS OUT OF QUESTION''

DC......Sure Teamo amejibu nilichotaka kujibu na mimi kwamba ukisoma post ya MJ1 "MARRIAGE IS OUT OF QUESTION"

Babu kwa nini mahawala huwa wanarudiana? ns si hawa walio oana kwa ndoa?

Bado nauliza tena....are you sure? Labda nitoe mfano.

Kwa sasa nchini Denmark, divorce rate iko kwenye kiwango cha >45%. Na kati ya hizo ndoa, kama 15% watu wanarudiana. Sasa katika hili tunalojadili mambo ya ndoa kweli hayaingii au tumejifungia katika mazingira ya Magomeni mapipa tu?
 
Baby come back kwa INFII ni MWIKO!i have got a lots of infiiz to deal with

Sure, but suppose you meet your former INFII at the bar with some sleeping rooms with comfy matresses while you are "hungry"?... You take a room and baby come back deal is signed...while thinking of the next INFII.....
 

Hawakukosea kukubatiza jina la Babu DC........busara zimelala hapa aksante sana . Najaribu tu kufikiria pale ambapo mliachana kwa ugomvi mkubwa na mikashfa ya kufa mtu huku wewe unaeombwa kucome back ukijaribu as much as possible kumrudisha na kumfanya aone jinsi gani unamhitaji but yet akakuona hufai sasa when you decide to move on ndo......bang!! anakuja na huo mziki!!

Even if you decide to take him/her back how do you learn to trust that person again to the extent ya wewe kuwa in peace kama mwanzo?
 
Mi huwa naogopa sana kupata kidonda kwenye kovu...

Baby come back ipo, ila nimemkubuka rafiki yangu...ngoja niishie hapa... Kuumizwa mara mbili ni nusu kifo asee.
Asprin ni kweli unachosema so I take it kuwa ni ngumu.how far will you be sure kuwa kilichotokea mwanzo hakitatokea tena? ni ngumu aisee
 
aisee mwanajamiione,
to me....

''VAPOURIZED FEELINGS CAN NEVER NEVER NEVER BE CONDENSED!.....and i no have compromise on that''
............ okay Teamo I get you here.....loud and clear

Phwehh ni kazi kwa kweli ah................ sijui nifanye vasectomy ya kupenda lol??
 

We kajukuu, angalia usije ukauguza kidonda cha kovu. Kinasumbua sana kupona.

Labda nikuulize: Mkarudiana halafu akakutenda tena kama awali.....baada ya muda akaja tena kuomba baby come back....Mi nashukuru bastola haziuzwi kariakoo, unaweza kuua kwa mapenzi asee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…