i will hereby rest my caseSure, but suppose you meet your former INFII at the bar with some sleeping rooms with comfy matresses while you are "hungry"?... You take a room and baby come back deal is signed...while thinking of the next INFII.....
Mh, i have a million questions hapa kabla ya kujua niseme nini
hiyo come back itakua ni ya ngapi?
what was the source of the problem before? una hakika haitajirudia?
vipi kuhusu trust?
what about opening the closet and reveal all the skeletons?
what about the time you were not together? will you forget? if not what would that mean to your come back fare?
Mh... knowing myself, i have never been exctied with any come and i tried once, it was as cold as ice i had to chapa lapa
Mjukuu hapo kwenye RED "no turning back bana...."Hawakukosea kukubatiza jina la Babu DC........busara zimelala hapa aksante sana . Najaribu tu kufikiria pale ambapo mliachana kwa ugomvi mkubwa na mikashfa ya kufa mtu huku wewe unaeombwa kucome back ukijaribu as much as possible kumrudisha na kumfanya aone jinsi gani unamhitaji but yet akakuona hufai sasa when you decide to move on ndo......bang!! anakuja na huo mziki!!
Even if you decide to take him/her back how do you learn to trust that person again to the extent ya wewe kuwa in peace kama mwanzo?
Hawakukosea kukubatiza jina la Babu DC........busara zimelala hapa aksante sana . Najaribu tu kufikiria pale ambapo mliachana kwa ugomvi mkubwa na mikashfa ya kufa mtu huku wewe unaeombwa kucome back ukijaribu as much as possible kumrudisha na kumfanya aone jinsi gani unamhitaji but yet akakuona hufai sasa when you decide to move on ndo......bang!! anakuja na huo mziki!!
Even if you decide to take him/her back how do you learn to trust that person again to the extent ya wewe kuwa in peace kama mwanzo?
ha ha ha ha!............ okay Teamo I get you here.....loud and clear
Phwehh ni kazi kwa kweli ah................ sijui nifanye vasectomy ya kupenda lol??
Speaker ......aksante kwa kulielewa vema swali langu........yes sometimes kuna hicho kisauti deep inside kinakwambia ameona kwako ndo bora ndo mana kakurudia (hasa kama ulijua kuwa alipoondoka kwako alikwenda kwa mwingine) but hiyo sehemu ya pili kuwa yakiharibika ni wewe sio kuwa inategemea?? Coz mwingine anaweza kukucomisha back halafu akaona ni mchezo akaharibu tena akijua akija kukuomba ucome back tena utakubali?You feel good,coz amegundua umuhimu wako sasa!
Ukimpoteza tena kwa mara ya pili hilo litakuwa tatizo lako sasa sio yeye
Asprin ni kweli unachosema so I take it kuwa ni ngumu.how far will you be sure kuwa kilichotokea mwanzo hakitatokea tena? ni ngumu aisee
We kajukuu, angalia usije ukauguza kidonda cha kovu. Kinasumbua sana kupona.
Labda nikuulize: Mkarudiana halafu akakutenda tena kama awali.....baada ya muda akaja tena kuomba baby come back....Mi nashukuru bastola haziuzwi kariakoo, unaweza kuua kwa mapenzi asee.
ha ha ha ha!
FOLLOW YOUR HEART MAMA!hatuna principles za moja kwa moja kwenye hili swala
Hahahah Babu DC......unahisi hawa hawajawahi kupenda eeh!! They are just saying it lightly lolAre you sure guys?
Speaker ......aksante kwa kulielewa vema swali langu........yes sometimes kuna hicho kisauti deep inside kinakwambia ameona kwako ndo bora ndo mana kakurudia (hasa kama ulijua kuwa alipoondoka kwako alikwenda kwa mwingine) but hiyo sehemu ya pili kuwa yakiharibika ni wewe sio kuwa inategemea?? Coz mwingine anaweza kukucomisha back halafu akaona ni mchezo akaharibu tena akijua akija kukuomba ucome back tena utakubali?
I have once tried that you know.......mara mbili and things turned to be the same ...and even worse
Heri uombe kwa Mungu kisitokee tena. Kikitokea tana darling.....utajuta kuzaliwa mwanamke... Sasa ili kukwepa kujuta kuzaliwa unaepuka kilichotokea kisitokee.
Mi nlishawahi kupenda na nikaumizwa na niliyempenda (naweza kukiri sijawahi kupenda vile) Ilinichukua zaidi ya miaka miwili kumtoa akilini huyu mtu. Halafu aje aniambie "Baby come back".....Eee Mungu pitisha mbali misiba isiyotarajiwa.
ofkooz in twenty years will be a babu.....!Now you are talking like a real father and future babu!!
Yeah hii inakuwa yaliyo pita si ndwele tugange yajayo.
Unakuwa umezunguka weeeeeeeeee hujapata vitu adimu kama kwako
Inatokea kila sehemu ukigusa unaona huyu anakaso hii huyu ile zinazidiana na kwako
Mwisho wa siku ukikubali unasahau kama ulikuwa kipindi cha mpito vitimbi vinaanza tena.
Mi watu wakiachana huwa sipendekezi warudiane au kutoa ushauri unaweza toa ushauri ukashangaa kesho unanuniwa.
Hahahah Babu DC......unahisi hawa hawajawahi kupenda eeh!! They are just saying it lightly lol
Kuna wengine wanaacha then wapenzi wao wanaoa/olewa na baadae wanaibuka na kuanza kuwashawishi wawarudie wako tayari kuishi nao au kama wamepata wenzi wapya wao kutwa kucha oh please kumbuka tulikotoka, nilikosea please nisamehe .....huyo hujamjua vizuri kama mie na bla blaa kibao
ulikuwa hujaoa si ndivyo?....Heri uombe kwa Mungu kisitokee tena. Kikitokea tana darling.....utajuta kuzaliwa mwanamke... Sasa ili kukwepa kujuta kuzaliwa unaepuka kilichotokea kisitokee.
Mi nlishawahi kupenda na nikaumizwa na niliyempenda (naweza kukiri sijawahi kupenda vile) Ilinichukua zaidi ya miaka miwili kumtoa akilini huyu mtu. Halafu aje aniambie "Baby come back".....Eee Mungu pitisha mbali misiba isiyotarajiwa.
ofkooz in twenty years will be a babu.....!
the way i see my daughter,naona vijana watatoana macho kwel kwel...
mi nasubiri ng'ombe tu
Babu kwa nini mahawala huwa wanarudiana? ns si hawa walio oana kwa ndoa?
Ah ....nisamehe smiles .....haikuwa nia yangu lohAfu we MJ1 wewe.....
Mmh....mi bana bora nisiongee!!
Teamo naomba ufafanuzi wa Marriage is out of question- does it mean kama mwenzi ameshaolewa ni marufuku kumcomisha back au ni marufuku kwa waliokuwa wameoana kisha wakatengana kucomishana back??sure brother......!
ANGALIZO:kwa mujibu wa hii post ya mj1....''MARRIAGE IS OUT OF QUESTION''