Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Babra sio Barbarahata barbara hassan simsikii kabisa.
kulikoni!!
..... ni BarbaraBabra sio Barbara
Hahaaah! Naku-zoom ukijipigia promo Baby.....Hata mimi ninajiuliza, namuona Pj na Sam pekee..
Ila baby alikuwa anachangamsha kipindi
PjKwa hiyo kipindi kinaendeshwa na nani?
Kaaah... [emoji849]Hahaaah! Naku-zoom ukijipigia promo Baby.....
Nadhani amemaanisha kwenye matamshi.......Ila linavyoandikwa ni "Barbara "na linatamkwa "Babra"Wewe ndio hujui kuspelling hilo jina ni Barbara
Atakuwepo maan siku waliporudi hewani kwenye ile party yao na vazi la usiku alikuwepo na akaambiwa yeye ndiye kavaa vazi zuri na ghali kuliko woteToka Clouds Tv wamerudi toka kifungo cha wiki moja simuoni Baby Kabae na Sam Sasali katika kipindi chao cha asubuhi -- Clouds 360.
Je, wameondoshwa kwa maslahi ya umma?
😑🤨😶