Baby Madaha kadhalilishwa

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720


Baby madaha aende mahakamani.....wanawake wanapaswa wapewe heshima mbele ya jamii hawa ni mama zetu hawapashwi kudhalilishwa namna hii......huyu ni mama anapaswa kuheshimika kwa kweli.....
amedhalilishwa sana
 
Sasa amedhalilika na nini si ueleze?
 
Labda me sijaelewa, amedhalilishwa kivipi? amevuliwa hiyo nguo? na akienda mahakaman anaend kustaki nin kwanza!!?
 
Amedhalilishwa vipi, hizo nguo kwa staili ya kuacha matiti nje si kavaa mwenyewe, kwahiyo asingepigwa picha??!!

Hiyo ndio mivao ya siku hizi ya hawa akina dada, kuacha matiti nje, unakuta dm mwingine ana matiti kama ndala lakini na yeye anayaacha nje...!!!!
 
Huyu ni kahaba anatafuta mabasha hapo ametega mingo sijui alikuwa joli club?
 
eeh huku kujipodoa kwa dada zetu mhhh...
 
Sijaelewa...au hayo madoti kwenye chakula ya mtoto..
 
thread nyingine hazina kichwa wala miguuu....hvi mtu anaejieshimu anaweza kuvaa kwa namna anayoonekana hapo

? biashara matangazo
 
"Biashara matangazo au kizuri chajiuza kibaya chajitembeza".
 
kadhalilishwa kivipi? Kavalishwa hiyo nguo na kupigwa picha by force?mwenzako yupo sokoni we unamtetea mh
 
naona umerudia kuvuta bangi, uliomba msamaha nikakusamehe, ukasema hutarudia kuvuta bangi, sasa naona umeanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…