Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
"demu" sawa, ila ungekua unaongelea "mke mtarajiwa" ningeshangaa sana ulichoandika!!Tafuta hela man, Mimi siwezi kuwa na miadi na demu afu umpandishe dala dala, kwanza ni kupoteza muda na majasho
Wanawake Na hela ni ndugu mmojaMwanaume Fanya Kazi... Unatamani. Mambo mazuri hela huna.. Ushawahi kusikia A woman is behind poor man.. Wote wapo behind a successful man
Hawaelewagi kwanini wanakwepa mambo za daladala, alafu akija kwa daladala ataleta uzi kina dada mnanuka...yani unatakaa adandie daladala alete papuchi imelowa jasho chepechepe...