Samahani kuna uwezekano alikua mmoja wa wachumba wangu wawili wa zamani. Maana hio sentensi nimeambiwa hivyo hivyo TWICE halafu wakasepa. Ila tatizo kubwa ni kwamaba siwezi kubembeleza so baadae wanakuja kusema I didn't think you loved when you stayed very quite so I moved on :eek2: .
Hehehe. Women are from Venus I tell you.
Ila I am very sure kuna jamaa mwingine pembeni. Sasa with you around hawezi ku judge vizuri. Kwaio she needs to pull back ili imsaidie kuamua.
Hakuna matatizo mengine yanayoweza kumfanya ahitaji SPACE from her lover zaidi ya kuwa na potential lover mwingine.
My answer, if she has doubts than maybe we aint supposed to be together in the first place. Deuces!
Space could mean
1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...[/QUOTE
2}sidhan kama namboaga coz kwa cku huwa nampgia cmu jz mara moja tu{kila jioni}ili kumjulia hali.
3}nilimwambia awe free tu kama kuna mwngne kampata aniambie,bt alisema hakuna mtu mwngne{cjui kama ni kweli,maana physics ya wadada wewe mwenyewe unaijua ilivo ngumu kuisoma}
4}ye mwenyewe anajua me ni mwelewa,so cdhani kama ana haja ya kufichaficha.
5}mayb
6}no comment.
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?
Space could mean
1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...
hakuna kitu kinaitwa a space katika mahusiano yaliyo kuwa kwenye mstari!kama anahitaji the space manake uhusiano wenu upo at stake kwa sababu pengine amegundua kitu cha tofauti kwako yani kuna vitu vibaya amevijua kukuhusu so anahitaji kujitafiti upya kama yupo sahihi au amepata mahusiano mengine so she need to quit!so kaa mkao wa kula!Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?
Space could mean
1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...
saluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuute!
Space could mean
1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...
Space could mean
1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?