Baby Powder: Coming soon to the screen near you!!

Baby Powder: Coming soon to the screen near you!!

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=BzeqaExvQZU[/ame]

"The movie will be officially released on 11.26.2009 in some states in USA, then Europe and Africa." - By one of the casts.
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=3Z3w73gZrsQ[/ame]
 
Kuna lugha ngapi humo?.. na hizo damu zao...Mmmhm!
 
..Ndiyo mazee.

Duh, hongera zake. Jamaa nakumbuka track yake aliyomdiss P-Funk mwenyewe alikuwa anasema ni Ether na Takeover combined.

Naona washikaji zake NN wa mitaa ya Dunwoody na Roswell ndani ya movie.
 
Duh, hongera zake. Jamaa nakumbuka track yake aliyomdiss P-Funk mwenyewe alikuwa anasema ni Ether na Takeover combined.

Naona washikaji zake NN wa mitaa ya Dunwoody na Roswell ndani ya movie.

Naona wanaJF wengi ndani, comment wanaminya...!
 
Hehehehe....are you saying na mimi nimo kwenye hiyo movie? Never ever...
Not you in particular, just pointing out to member of the cast, i believe quite a few of 'em peruse these great thinkers pages! lol
 
Naona wanaJF wengi ndani, comment wanaminya...!

Hii movie i think waliotengeneza ni lawrence karabani na Sajo,na actors ndiyo wamechanyanyika watanzania na wakenya na wamarekani.
premier (grand opening) itakuwa houston wakati wa thanks giving (november) ile ijumaa jumamosi na atlanta jumapili kwa ajili ya wakenya.It is a nice movie akina Carlos wamejitahidi sana pamoja na yule mtoto wa houston (rapper wa kitanzania).I am so looking foward kwenda kuiona kwa kweli.

good job guys.
 
Hii movie i think waliotengeneza ni lawrence karabani na Sajo,na actors ndiyo wamechanyanyika watanzania na wakenya na wamarekani.
premier (grand opening) itakuwa houston wakati wa thanks giving (november) ile ijumaa jumamosi na atlanta jumapili kwa ajili ya wakenya.It is a nice movie akina Carlos wamejitahidi sana pamoja na yule mtoto wa houston (rapper wa kitanzania).I am so looking foward kwenda kuiona kwa kweli.

good job guys.

From the clips i've seen so far, the video quality ni ya nguvu, the background music is crisp and level-headed. I'm yet to see the entire script and other stuffs therefore reserve my comment. Overall, props to them all, job well done!
 
Hahaha NN, kuna msela mmoja hapo mwenye Tee nyeupe anakaa mitaa ya Tilly Mill RD/N Peachtree na N Shallowford Rd.

Huyo rapper ndio Tibaigana (jina la kwanza silijui)?
 
Hahaha NN, kuna msela mmoja hapo mwenye Tee nyeupe anakaa mitaa ya Tilly Mill RD/N Peachtree na N Shallowford Rd.

Ahahahahahaaa...najua unamzungumzia nani Lol. Huko Tilly Mill mi napa consider kuwa Doralville ila wenyewe ukiwauliza unakaa wapi wanakuambia Dunwoody...ahahahahaaa sijui ndo yaleyale ya Masaki na Obei...I dunno...

But Tilly Mill ina run kutoka Dunwoody hadi Doralville so I guess you're right...
 
Hahaha NN, kuna msela mmoja hapo mwenye Tee nyeupe anakaa mitaa ya Tilly Mill RD/N Peachtree na N Shallowford Rd.

Huyo rapper ndio Tibaigana (jina la kwanza silijui)?

Jina lake halisi ni Lambert Mulokozi Alfred Tibaigana,alimaliza kidato cha 6 Tambaza mwaka 1998,yeye na familia yake wanaishi Kirkwood/Westheimer- Houston,Texas.

Tunaisubiri kwa hamu Movie hii "babu Powder",yenye high quality kiutengenezaji.
 
I'm yet to see the entire script and other stuffs therefore reserve my comment.

...the video quality ni ya nguvu,

...the background music is crisp and level-headed.

...props to them all,

...job well done!

I reserve my comments..! Hiki ki preview ni famba, ni kama cha movie nne tofauti, wameunga unga vi scene vya sekunde mbili mbili wakavipa majina ""STREET LOVE...BABY POWDER...LOVE TO HATE.... REAL LOVER..." hata huelewi vinahusiana au ni tofauti, mara kitandani, barabarani, mara sebuleni...vurugu mechi.

Dialogue nayo ndio hivyo tena, mawasiliano ya Ki-bongo "Cock pistol yako don't think, point don't miss... paah!" Asi miss kwenye ku point? Trailer inaonyesha movie ni famba! I reserve my comments...!
 
I side with Dilunga..preview inaonekana hakuna tofauti na movies za kina Kanumba sijui Kayumba..ovyoovyo..(if u count my opinion though!)
 
Back
Top Bottom